Usikose kumtizama Dk Hamisi Kigwangalla katika Mkasi Leo EATV SAA tatu na Nusu

Usikose kumtizama Dk Hamisi Kigwangalla katika Mkasi Leo EATV SAA tatu na Nusu

Peter Dafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
392
Reaction score
272
Behind the Scenes Dk Hamisi Kigwangalla akifanya kipindi cha Mkasi, Hii Leo kuanzia saa Tatu na Nusu usiku Kipindi hiki kitakuwa hewani.
Tizama jinsi Dk Kigwangalla alivyozungumza Changamoto na Utatuzi wake pia maswala mbali mbali dhidi ya vijana na Kuelekea 2015 ?
Usikose kipindi hiki Bora EATV pekee
 

Attachments

  • 1405337776897.jpg
    1405337776897.jpg
    57.6 KB · Views: 185
  • 1405337886371.jpg
    1405337886371.jpg
    58 KB · Views: 177
  • 1405337928913.jpg
    1405337928913.jpg
    80 KB · Views: 164
  • 1405337975033.jpg
    1405337975033.jpg
    58.4 KB · Views: 158
  • 1405338014786.jpg
    1405338014786.jpg
    78.1 KB · Views: 158
Hivi Kingwala huyu ni nani Tanzania? Hivi changamoto za Nzega amezimaliza? anyway acha nayeye akasafishwe kucha
 
Kigwangalla amezungumzia mengi sana yahusuyo nchi yetu changamoto zake na utatuzi wake.
Mwambie na Mwenzio mtizame
 

Attachments

  • 1405339633985.jpg
    1405339633985.jpg
    61.6 KB · Views: 132
  • 1405339699653.jpg
    1405339699653.jpg
    89.3 KB · Views: 132
Hana lolote huyu anapenda sifa za kijinga.
 
Mkumbishe asisahau ile ishu ya vitumbua..
 
Huyo ni tapeli tu aliwadanganya wachimbaji wadogo kuwa waandamane hadi mgodini nzega kumbe kala Dili na polisi kakamatwa kama mtoto mchanga huku wachimbaji wakila marungu na mabom ,usiku ulipoingia kaenda kula bata Dodoma
 
Huyo msengerema nzega maji dumu la lita 20 ni mia nane saizi anatuambia nini? sina muda na wacenge
 
mi leo siangalii nlivyomuona yeye tu kuna bonge la movie STAR GOLD
 
Wewe uliyeleta uzi huu ni Kistuli au Hamisi?
Hata hivyo hamisi hana la maana atakaloongea la kumsikiliza
Sana sana atarudia yale yale kama watu wale wale na kwa propaganda zile zile!
 
Tumtazame ana jipya gani huyo mchumia tumbo? Anatofauti gani na ma..yani wenzake hapo lumumba national pac
 
Back
Top Bottom