Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 392
- 272
Behind the Scenes Dk Hamisi Kigwangalla akifanya kipindi cha Mkasi, Hii Leo kuanzia saa Tatu na Nusu usiku Kipindi hiki kitakuwa hewani.
Tizama jinsi Dk Kigwangalla alivyozungumza Changamoto na Utatuzi wake pia maswala mbali mbali dhidi ya vijana na Kuelekea 2015 ?
Usikose kipindi hiki Bora EATV pekee
Tizama jinsi Dk Kigwangalla alivyozungumza Changamoto na Utatuzi wake pia maswala mbali mbali dhidi ya vijana na Kuelekea 2015 ?
Usikose kipindi hiki Bora EATV pekee