Usikose mnada huu kutoka Ubalozi wa Marekani

Usikose mnada huu kutoka Ubalozi wa Marekani

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Ubalozi wa Marekani utauza kwa njia ya mnada wa kimtandao (online auction) vifaa mbalimbali vikiwemo samani, vifaa vya nyumbani, vifaa vya kielektroniki na magari ya serikali:
  • Mnada utafunguliwa ili kuona vitu vinavyouzwa siku ya Jumatatu tarehe 1 Mei kuanzia saa 00:00, na kufungwa siku ya Jumanne tarehe 2 Mei, 2023.
  • Mnada utaanza kupokea madau (bidding) Jumatano tarehe 3 Mei kuanzia saa 00:00, na kufungwa Jumapili tarehe 7 Mei 2023 saa 23:59

Jisajili na tengeneza akaunti yako binafsi ili uweze kushiriki katika mnada huu. Kwa taarifa zaidi → https://bit.ly/OA-Tz
1682591681846.jpg
 
Hii taarifa haina ukweli, kwenye website ya mnada Tanzania has not listed kuwa kutakuwa na mnada.
 

Attachments

  • Screenshot_20230429-094646.jpg
    Screenshot_20230429-094646.jpg
    81.4 KB · Views: 14
Nimependa njia hii ya auction online maana mshindi anakuwa anaonekana lives, or waziwazi.
 
Nimependa njia hii ya auction online maana mshindi anakuwa anaonekana lives, or waziwazi.
Umefanikiwa kujiandikisha mkuu ? Mimi imekataa kabisa , kuna kiti nimekipenda ila inakuwa shida kujiandikisha
 
Kuna aliyefanikiwa kununua kitu kwenye huu mnada , vitu wanaanza mbali sana
 
Nyau hawa si wangeuziana wenyewe kwa wenyewe kama wanashindwa kutuma verification link.
 
Back
Top Bottom