Mnada upo mkuu ni ww tuHii taarifa haina ukweli, kwenye website ya mnada Tanzania has not listed kuwa kutakuwa na mnada.
Umefanikiwa kujiandikisha mkuu ? Mimi imekataa kabisa , kuna kiti nimekipenda ila inakuwa shida kujiandikishaNimependa njia hii ya auction online maana mshindi anakuwa anaonekana lives, or waziwazi.
Hata mimi mkuu.inatakiwa ufungue account na fungua ila kupata verification inakataaUmefanikiwa kujiandikisha mkuu ? Mimi imekataa kabisa , kuna kiti nimekipenda ila inakuwa shida kujiandikisha