Usiku huu wa Desemba 31 umekukutia wapi?

Niko nacharaza kiboard kuandaa mikeka yakumuumiza muhindi...
 
Mimi na mwanangu tunawakaribisha leo tarehe 1/1/2018 nyumbani kwetu kutakuwa na nyama choma na vinywaji


Kuanzia saa 6 mchana mpaka usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…