Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Pole sana kijana ingefaa zaidi kama ungelala uvunguni au jikoni ka utaweza kuvumilia huko baridi hakuna lol! Usiku mwema pia.Mi nalala nikiukumbatia mto wangu na machungu ya baridi kali katika jiji hili lenye miamba kibao!Hongereni wenye mablanketi ya ukweli,sisi wacha tupambane na ndoto za mahaba ila asubuhi kazi ya kubadili nguo!