Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Safisheni tu.. Mimi kila nikijaribu nikae niangalie muvi nashindwaAmen.. ngoja tusafishe macho na muvi kwanza
Jamani,Mimi nalikosea Mara nyingi.
Kwa vile umeshauriwa uliache basi acha usibadili.
Ndo nazima data hapa nisali my dear.!Ulifanya vile?
Akhsante.Pole maskini utakua sio mpenzi
[emoji120][emoji120][emoji120]Jamani,
Mpaka nimefarijika sana.!
Barikiwa mno mumie.!!
Napenda muzikiWhat you up to.?
Ya hobbies
Mimi nahisi nyimbo za kwaya nyingi nazijua.Muziki tupo pamoja napenda mno..
I'm a choir member
HongeraNapenda Catholic choir n songs..Nazijua nyingiiiiii... zingine hua nasikiliza tu kiasi! Kwa nyimbo za kidunia napenda Nyimbo zote.. hua napata wakati mgumu kuxhagua muziki na muvi kipi nachopenda zaidi
Haya byeeeTantee..
Bai pia..Haya byeee
Thanks kijana wanguUsiku mwema beatiful