digo dula
Member
- Aug 21, 2016
- 12
- 2
Baada ya kufanya uchunguzi wakina na kugundua kwamba mpenzi wangu anamichepuko mingi tena ya kutisha niliamua kufanya haya:-
1-kuweka vocha simu yangu
2-kumpigia na kumpa makavu yake
3-kumtamkia simwitaji tena
4-kumuaga rasmi
5-kukata simu
~~~~>Alichonijibu yeye Kwa SMS
-----unataka uharibu ndoto zako?(sikumjibu)
-------najiua na maelezo ya kifo changu utayajibu wewe
Baada ya hapo nikampigia simu akakata, nikapigatena haipokelewi ,baada ya dk15 akatuma sms''taratibu zimekamilika nisamehe Kwa yote bye-bye nakutakia maisha marefu'''. Alafu akafunga simu.
Kidume nilijutia usiku ule ,niliwazia vyombo vya Sheria usiku mzima,. Nilijigeuza usiku mzima nkiwasha feni bardi Kali nkizima joto Kali.
Saa12 hasubi delivery report Kwa mpigo, kumpigia akapokea bila kuongea, kidume nilala Mika na kuomba msamaha kwelikweli
Ilibidi mapenzi yaendelee japo demumwenyewe kicheche
**Hebu niambie wapi nilikosea**
1-kuweka vocha simu yangu
2-kumpigia na kumpa makavu yake
3-kumtamkia simwitaji tena
4-kumuaga rasmi
5-kukata simu
~~~~>Alichonijibu yeye Kwa SMS
-----unataka uharibu ndoto zako?(sikumjibu)
-------najiua na maelezo ya kifo changu utayajibu wewe
Baada ya hapo nikampigia simu akakata, nikapigatena haipokelewi ,baada ya dk15 akatuma sms''taratibu zimekamilika nisamehe Kwa yote bye-bye nakutakia maisha marefu'''. Alafu akafunga simu.
Kidume nilijutia usiku ule ,niliwazia vyombo vya Sheria usiku mzima,. Nilijigeuza usiku mzima nkiwasha feni bardi Kali nkizima joto Kali.
Saa12 hasubi delivery report Kwa mpigo, kumpigia akapokea bila kuongea, kidume nilala Mika na kuomba msamaha kwelikweli
Ilibidi mapenzi yaendelee japo demumwenyewe kicheche
**Hebu niambie wapi nilikosea**