Usipende kutoka usiku..Habari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubwa wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
Habari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubwa wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
haaa mkuu huyu mdogo huyo kimo cha mbuzi mzeeUsikute ni ndege joni a.k.a stork View attachment 1765098
ngoja yakukute utaaminiNmeshuhudia Chai[emoji1][emoji116]View attachment 1765100
Wenge tu hilo mkuu la usingizi plus giza.mimi ndio jana nimeona asee sema sikukimbia nilikaza kiume
Chai....Habari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubwa wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno kimo cha mbuzi sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
Sasa sie wengine kazi zetu za usiku tusitoke?Usipende kutoka usiku..
Nenda baharini saa nane usiku ukae hapo hapo usitoke! mpaka ushuhudieWatu mna mambo ya ajabu sana yanawapata.
Mimi mpaka umri huu sijakutana na hayo maluweluwe.
Nayatamani sana nikutane naye tuone nani zaidi.