Usiku una mambo mengi

Habari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubw
Hatari
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna uzi humu unazungumzia Dar es salaam usiku !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanga
 
BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako. BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.

Zab 121:7‭-‬8 SUV

Mtegemee Mungu, hofu ya kitu chochite itabaki kuwa historia kwako
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Sasa nawewe usiku wa manani unatoka kununua maji ya kunywa ulikua wapi kuyanunua kabla ya kuingia kulala.!!
 
Sasa nawewe usiku wa manani unatoka kununua maji ya kunywa ulikua wapi kuyanunua kabla ya kuingia kulala.!!
baada ya kupata futari nikapitiwa na usingizi mzito sana kushtukaa saa nane iyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…