Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
HatariHabari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubw
a wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno kimo cha mbuzi sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
Kuna uzi humu unazungumzia Dar es salaam usiku !Habari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubwa wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno kimo cha mbuzi sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
tuwekee link tukausome...
Acha kudangaHabari jf, story fupi tu ipo hivi jana usiku mida ya saa 8 na nusu nilitoka nje kwenda road kununua maji ya kunywa asee sasa nafungua tu mlango mkubwa wa kutokea nje niliona ndege mkubwa mno kimo cha mbuzi sijawah kuona mweupe nilivyofungua tu mlango aliruka na kupaa juu zaidi kwenye mnazi kwakweli niliogopa mno kwani siishi kijijini nipo hapahapa dar katikati ya jiji nimeamini usiku una mambo mengi. Embu tupia nawewe ulichoshuudia usiku kitu cha ajabu kwa macho yako
Wangari Maathai daktari wako wa namba 9 huyo....Usikute ni ndege joni a.k.a stork View attachment 1765098
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako. BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
Zab 121:7-8 SUV
Mtegemee Mungu, hofu ya kitu chochite itabaki kuwa historia kwako
Hahahaa nimewamis...dah🙌 sijui kwanini huku hYapo ..napendaga niyaoneWangari Maathai daktari wako wa namba 9 huyo....
ntakuchinjia mmoja nikutumie kama parcel, ila ukimla ndo kwaheri..Hahahaa nimewamis...dah🙌 sijui kwanini huku hYapo ..napendaga niyaone
Mie nilitaman kubeba moja nije nilifuge naskia yana "thumu"wanasema hata bati akinyea inatoboka mapemantakuchinjia mmoja nikutumie kama parcel, ila ukimla ndo kwaheri..
Usipende kutoka usiku..
Pana Wana watu wanakwrnda kuvua exactly saa tisa usiku..hawaoni LoloteNenda baharini saa nane usiku ukae hapo hapo usitoke! mpaka ushuhudie
Sent using Jamii Forums mobile app
we hao hawafugiki mzigo wote huo kooni sijui anadigest kila kitu hatari..Mie nilitaman kubeba moja nije nilifuge naskia yana "thumu"wanasema hata bati akinyea inatoboka mapema
Ila yanavutia balaawe hao hawafugiki mzigo wote huo kooni sijui anadigest kila kitu hatari..
baada ya kupata futari nikapitiwa na usingizi mzito sana kushtukaa saa nane iyo
Mkuu wavuvi wanaona mengi usiku ndo changamoto ya kazi yaani wasifanye kazi kwasababu kuna mauzauza? waulize watakuambia!Mkuu
Pana Wana watu wanakwrnda kuvua exactly saa tisa usiku..hawaoni Lolote
hahaaa acha ham za hivyo bhana..Ila yanavutia balaa