Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Teh Teh... binti kiziwi na Mwl Evelyn Salt..tafadhali mje mmpe faraja huyu kijana wa kiba...
Soon atashikwa kama yule kijana wa Arusha
Wakuu imeniuma sana, hivi hawa majaji wana akili kweli? How comes kura nyingi apate Kiba alafu tuzo apewe mtu mwingine? Hizi hujuma hazikubaliki hata kidogo, nina mashaka na wakina bab Tale na Salim huenda kuna mchezo mchafu wamefanya ili Kiba akose tuzo.
Mziki ni ujinga bora nikakomae na UKAWA yangu.
pwilo huyu mwenzako vipi njoo humufariji basiWakuu imeniuma sana, hivi hawa majaji wana akili kweli? How comes kura nyingi apate Kiba alafu tuzo apewe mtu mwingine? Hizi hujuma hazikubaliki hata kidogo, nina mashaka na wakina bab Tale na Salim huenda kuna mchezo mchafu wamefanya ili Kiba akose tuzo.
Mziki ni ujinga bora nikakomae na UKAWA yangu.
uchawi tu hamna kingine.
Kiba hatumii akili kunyanyua kazi zake.alidai hana mpinzani akachukua likizo,hilo ndilo kosa atamkimbiza diamomd hadi kiamaMungu ampe nguvu na hekima king kiba, katika hiki kipindi kigumu.
Honestly i m diamond team , ila kiba hafai kusemwa vibaya...
Kipaji anacho, naamin ipo siku nayeye bahati itamnyookea king kiba
Hongera kwa diamond, vanessa, na baba wanjera...
Huyo mda wake ulishaisha aliuchezea ujana sa ivi zamu ya wengine hata afanyeje kumpiku diamond ni ndoto anapaishwa na bifu tu lililotengenezwa na mashabiki wake na wa diamond ila kiuhalisia mda wake ulishaisha
Dimpoz? Kiba ni sawa na msaga sumu usitake kumpa hadhi asiostahiliHivi wanaomlinganisha Mond na Kiba huwa ni serious discussion au Kujaribu kumpa promo kiba?
Honestly Kiba hawezi kuwekwa group moja na Mond, labda na akina ommy dimpoz.
Ukweli mchungu.
Ka kiba kahujumiwa vp eddy kenzo ambae ashachukua tuzo kubwa mbona haongei hayo unayosemaWakuu imeniuma sana, hivi hawa majaji wana akili kweli? How comes kura nyingi apate Kiba alafu tuzo apewe mtu mwingine? Hizi hujuma hazikubaliki hata kidogo, nina mashaka na wakina bab Tale na Salim huenda kuna mchezo mchafu wamefanya ili Kiba akose tuzo.
Mziki ni ujinga bora nikakomae na UKAWA yangu.
Umezungumza point kubwa sn mkui, inshot kiba anapaishwa kwakushindanishwa na domo, yan saiv ukimtaja diamond lazima nyuma yake umtaje kiba anatumia madhaifu ya diamond kujiboost, kama angekua anakubalika baas angetusua kua maarufu afrika tangu awali aliposhirikishwa na r kelly bt ni kama alipata zali la mentali iv, saiv atafamika mbal zaid coz anashindanishwa na diamond, vinginevo diamond akiacha mziki kiba anapotea kabsaa, huo ndoukweli
Wakuu imeniuma sana, hivi hawa majaji wana akili kweli? How comes kura nyingi apate Kiba alafu tuzo apewe mtu mwingine? Hizi hujuma hazikubaliki hata kidogo, nina mashaka na wakina bab Tale na Salim huenda kuna mchezo mchafu wamefanya ili Kiba akose tuzo.
Mziki ni ujinga bora nikakomae na UKAWA yangu.
Wakuu imeniuma sana, hivi hawa majaji wana akili kweli? How comes kura nyingi apate Kiba alafu tuzo apewe mtu mwingine? Hizi hujuma hazikubaliki hata kidogo, nina mashaka na wakina bab Tale na Salim huenda kuna mchezo mchafu wamefanya ili Kiba akose tuzo.
Mziki ni ujinga bora nikakomae na UKAWA yangu.
Kiba ccm ndiyo imempoza sana na mm ndiyo hapo nilipoanza kumchukia mpaka kura nikawa simpigii tena
Nkajua k 4 real mzee wa vibwengo lol
Shenzytype na wakomeshwe tu. Kwanza sinunui tena kazi ya hao wanamziki type ya Alikiba zaidi ya kuwaibia tu kazi zao kwa kufyonza kwenye disc. Watakata mauno majukwaani hadi wakome. Nafuu yao ni pale watakapopata mab....sha huko ulaya.