Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Naaaaam, baada ya Simba kufuzu hatua ya makundi kwa mbinde, imebaki zamu ya Azam, kipanga na Yanga.
Azam wanaongoza kwa bao 1 na gemu wameikamata hasa, wapunguze kupanick, magoli nayaona kama manne hivi, Kipanga had ss hv kapigwa bao 3 na ni dakika ya 70.
Shughuli inayosubiriwa na wengi ni kule Sudan, he he he he usiku wa deni haukawii kucha.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Azam wanaongoza kwa bao 1 na gemu wameikamata hasa, wapunguze kupanick, magoli nayaona kama manne hivi, Kipanga had ss hv kapigwa bao 3 na ni dakika ya 70.
Shughuli inayosubiriwa na wengi ni kule Sudan, he he he he usiku wa deni haukawii kucha.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app