Siku hizi Tabata imekua Sinza mpya. Naona mambo ni hatari kila leo.
Lile jukwaa lirudi tuWakuu naomba muongozo, nimekuta haya matangazo kadhaa mitandaoni yakiongozwa na bidada Al-maaruf Mariam Biriani yene jina la USIKU WA KISAMVU CHA KOPO.
Kwa kweli hilo jina na hizo picha za matangazo zimenisisimua kidogo. Kuna nini huko naomba kujua, kama nini nijiandae tu
View attachment 2052837
Sura haina matumizi kwenye jambo laoHuyo mariam ukikutana nae sura nzito ya kiume,2019 dec alikuja kuuza mtandao arusha wajumba wakatafuna sana
Sura haina matumizi kwenye jambo lao
Mambo ya 0713Yaani ni nini exactly mwenye maelezo kamili.
Kwa kweli hilo jina na hizo picha za matangazo zimenisisimua kidogo.
Kwahio hii show itakua ya ma mende [emoji221][emoji221][emoji221]na ubwabwa Nazi[emoji493][emoji493]
- Mtunzi wa Tangazo kafanikiwa kwa kiwango kikubwa, Ametimiza lengo, na wewe umemsaidia kujitangaza zaidi., bila ya kujua wala kulipwa.
- Ukisikia mjini shule, akili kichwani ni katika events kama hizo.
- Muuandaa event tayari ana target yake ya kujiingizia kiasi kadhaa cha fedha cha kufungia mwaka.
- Na target ya wateja anaifahamu fika, kwa nini asiwatumie ili kujipatia kipato!