Sikuhizi umejikita kwenye Yanga hujui trend ya Manure na Arsenal kwa miaka hiiUnafikiri Kuna mwaka Arsenal walipenda kufungwa na Man U, wanachozidiwa Arsenal ni maarifa tu, Arsenal kufungwa na Man U haijawahi kuwa jambo la ajabu.
Ajabu ni pale Arsenal kupata ata sare Kwa United.
Mimi binafsi nilisha waondoa Arsenal katika washindani wa Man U. Ata Arsenal wawe na kiwango kizuri Cha namna gani Kwa timu zingine sijawahi kuwa na shaka juu ya wao kufungwa.Sikuhizi umejikita kwenye Yanga hujui trend ya Manure na Arsenal kwa miaka hii
Toa dp ya scholes weka ya Mc Tominay ndio itakukumbusha timu uliyonayo miaka hii[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi binafsi nilisha waondoa Arsenal katika washindani wa Man U. Ata Arsenal wawe na kiwango kizuri Cha namna gani Kwa timu zingine sijawahi kuwa na shaka juu ya wao kufungwa.
Naomba nikusalimie nimekaa paleeeeMimi binafsi nilisha waondoa Arsenal katika washindani wa Man U. Ata Arsenal wawe na kiwango kizuri Cha namna gani Kwa timu zingine sijawahi kuwa na shaka juu ya wao kufungwa.
Hebu tuambie kuanzia 2019 Man u kama kamfunga Arsenal zaidi ya match 2 tu!Mimi binafsi nilisha waondoa Arsenal katika washindani wa Man U. Ata Arsenal wawe na kiwango kizuri Cha namna gani Kwa timu zingine sijawahi kuwa na shaka juu ya wao kufungwa.