Aliona mkate na siagi na SOSeJI
Duuu[emoji41]Sikuhizi tunaoa baada ya kutundikacmimba hiyo damu unaipata wapi
Hahahah ndio maana kakimbiaHalafu yeye alikuwa anategemea mayai ya kuchemsha biringanya matango carrots ndizi mbivu na mihogo [emoji12][emoji12][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094]
Nyie ndo mnakujaga kutusumbua ndoa zikiwashinda mnaanza kuimba mapambia ya kwaya!.. wakati huo utakuja na ushairi..usiku wa kwanza wa ndoa, itamwagika damu.
kitanda kitaloa, kwa wino wakalamu.
sitaacha ikapoa, hadi iniishe hamu.
chaga nitazitoa,ukinipanda wazimu.
nguo nazichojoa, niuongeze utamu.
halafu nakohoa, nasukuma gurudumu.
Hahaha hahaaaaaa...... Am ur Yang bro...Ndio umejitahidi walau,
Yaan kama kibonge kakutana na kimbaumbau,
Ongeza jitihada IPO siku utaweza,
Ww kwangu bwana mdogo mm wako broza,
[emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Nimeshapona... Alhamdulillah immune system yangu kiboko.!!Unaiogopa Covid 19???!!
Nimeshapona... Alhamdulillah immune system yangu kiboko.!!
Ahssante.. life goes on !!mbonakawaidaHongera, kazia hapo afya isitetereke.
Ahssante.. life goes on !!mbonakawaida
When you was first year?,,Hahaha hahaaaaaa...... Am ur Yang bro...
Let's go
KwenYe rhymes me ni killer.... Kwenye vner me ni driller..... Kwenye hip hop me n filler....
Am little..... But my name possessed big title...
Hip hop n level za chuo kikuu..... But whY course work zako n level ya kilikuu....
Kama ni kiu bas HaYa ni maji..... Kata Qiu mfamaji......
Nmetumia Course ya uandshi wa ushair.... When i was first Year[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetisha mzee babaUsiku wa kwanza wa ndoa freestyle
Sihitaji kampani, niko deep romance hadi kwapani.../
Hili gari naliweza niachie usukani, nipite nalo muheza nikawasalimie pwani.../
Bed linanijua kua Scars kuchoka ni nadra, nakamua kiume bila msaada wa viagra.../
Harufu ya marashi inaongeza stimu, nifanye ka gwajima tujirekodi kwa simu.../
Mpishi wa mapenzi acha nikupe maujiko, dadeki zege la leo halilali hata aje fundi maiko.../
Kwa heshima na taadhima.. na tashriffaTheek hai.
Kwa heshima na taadhima.. na tashriffa
Ninayo hamu.. ila mie huogelea pain kuu (deep sea)Zaamiiiiii......
Haujapata hamu ya kuogelea....!!