Ni kweli kabisa yule Katembo alistahiki ushindi, Hamisi Maya kapigwa sana, lakini cha kushangaza yeye ndo kashinda.Na yule Mbongo kapigwaa afu kashinda lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe nimeshangaaNi kweli kabisa yule Katembo alistahili ushindi, Hamisi Maya kapigwa sana, lakini cha kushangaza yeye ndo kashinda.
Ameshindaje huyu..!
Mfaume kajipiga mwenyewe kujifurahisha...hamna Bondia mule...ni ujinga mtupuBondia Mfaume Mfaume ameibuka na mkanda wa ubingwa wa WBF baada ya kumtandika Said Abdumonem kutoka Misri kwa TKO raundi ya pili.
Nacooz zimepigwa raundi ya kwanza na kuhitimishwa na raundi ya pili mapema tu.
View attachment 2278685View attachment 2278686
Leo nimecheka mnooo, yaan special cards wa pambano wametoa bokoo had Co poaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli kabisa yule Katembo alistahiki ushindi, Hamisi Maya kapigwa sana, lakini cha kushangaza yeye ndo kashinda.
Ameshindaje huyu..!
Comment ya ukweli sana...umemaliza.Huu mchezo umeanza tena kuharibiwa kama mwanzo. Yaani kweli wadhamini wanaweka pesa zao na watu wanalipa kiingilio kwenda kuangalia bondia feki kabisa yule mmisri. Jamaa hata kurusha ngumi hawezi kabisa. Halafu kesho utamsikia Mfaume anasema namtaka Mwakinyo ulingoni.
Kwa hivi karibuni mchezo wa ngumi ulianza kushika kasi sana na kuwa na wapenzi wengi na hata wadhamini wengi pamoja na kutoa ajira kwa vijana wengi lakini kwa haya yanayofanyika sasa huu mchezo utarudi kaburini tena. Ni wakati sasa wa serikali kuingilia kati kama ilivyozuia mabondia kujiondokea tu kwenda nje kupigwa halafu wanapewa pesa wanawapandisha watu viwango huko nje basi sasa hivi iingilie kati iwe na udhibiti wa mabondia kutoka nje wanaokuja kucheza hapa nchini. Vinginevyo itakuwa tu mtu anaokota kinyozi au mlevi huko nje ya nchi anampa dili anamleta hapa nchini anamkungúta "knock out" ya uwongo uwongo biashara imeisha wakati watu wamelipa viingilio.
Mwakinyo mwenyewe ndo mabondia anaochezaga nao hao...Type za mmisri.Huu mchezo umeanza tena kuharibiwa kama mwanzo. Yaani kweli wadhamini wanaweka pesa zao na watu wanalipa kiingilio kwenda kuangalia bondia feki kabisa yule mmisri. Jamaa hata kurusha ngumi hawezi kabisa. Halafu kesho utamsikia Mfaume anasema namtaka Mwakinyo ulingoni.
Kwa hivi karibuni mchezo wa ngumi ulianza kushika kasi sana na kuwa na wapenzi wengi na hata wadhamini wengi pamoja na kutoa ajira kwa vijana wengi lakini kwa haya yanayofanyika sasa huu mchezo utarudi kaburini tena. Ni wakati sasa wa serikali kuingilia kati kama ilivyozuia mabondia kujiondokea tu kwenda nje kupigwa halafu wanapewa pesa wanawapandisha watu viwango huko nje basi sasa hivi iingilie kati iwe na udhibiti wa mabondia kutoka nje wanaokuja kucheza hapa nchini. Vinginevyo itakuwa tu mtu anaokota kinyozi au mlevi huko nje ya nchi anampa dili anamleta hapa nchini anamkungúta "knock out" ya uwongo uwongo biashara imeisha wakati watu wamelipa viingilio.
Hapa si suala la kulalamika.. Kama tunataka kushindana lazima watafutwe washindani wa kweliWabongi hawana jema. Angeshindwa, wangelalamika ns kumponda kweli bondia mzawa! Ameshinda, bado wanalalamika!
Ifikie wakati tuanzishe tu mashindano ya kulalamika na kupigana majungu.