Usikubali kuwa mtu wa kukumbukwa na marafiki wakiwa na shida tu, wewe sio choo

Jf kila mtu tajiri kasoro wanaoomba kazi na ajira tu😁
 
Ukiwa unatafutwa nyakati ngumu maana yake ur the chosen one .

MTU anapokufata umsaidie hasa anapokuwa broke -financially , or stressful maana yake kuna nguvu umebeba ya kuwa problems solver.


Unachobidi kufanya ni Ku-link na universe au ur higher power ili ikuletee New knowledge or revelation ili uwaisaidie.


Katika maisha you need to practice win to win situation in business and not in life .

So kuanza kuweka mipaka katika maisha yako ni kuamua kuzuia positive energy to flow in ur life.



Mimi nachojua watu wanotafutwa kutoa msaada ndo huwa wanainuliwa na universe /God

Ushauri wako umekaa kutengeneza watu wawe self-centered kitu ambacho kitawafanya wawe broke zaidi na kuishia kuwa na mediocre life.
 
🫑🫑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…