Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,330
hahahahaha, rev. umesahau njia ya kanisaniHata ukiwa unasifia Magamba?
Faiza fox huyo ni noumer! Ana kaba kama Gatusso!
ni makosa makubwa kwa mtu yeyote kukujua au kujua id yako hapa jf
kuna dada mmoja amenijua na tukapeana user name zetu huko facebook
yaani ananifatilia sana halafu inaonekana ni mfuasi wa magamba na mimi nayachukia magamba
nahisi atawaonyesha magamba nyumbani kwangu,sasa hivi nimekosa amani
nimekutana naye jana akaniangalia kwa jicho la husuda
nimekosa amani kabisa hapa jf,naomba msifanye makosa kama hayo wakuu!
Wasiwasi wa bure mkuu, mbona sie wengine tunafahamiana na wanamagamba kibao lakini hatuna mashaka hata kidogo.
Kama unaandika habari za kuzua hapa, bila shaka utakuwa na wasiwasi lakini kama unaandika mambo ya ukweli kwanini uwe na wasiwasi?
Hata huko fesi buku mbona tunawarushia makombora kama kawaida mkuu na hatuogopi. Labda kama huyo mwanamke yeye binafsi ana agenda ya siri dhidi yako hapo nitakuelewa.
Hatahivyo, pole kwa kitisho, siku nyingine usiwe mwepesi wa kujitambulisha. Au kwa kuwa ni mwanamke ulikuwa na matarajio!!??
pole sana ila mm ninaowajua nawaamini mnoo ndio mana nikajiweka wazi kwao.............hawanitishi ng'o
??????????????????????????????...............
yuko hapa jamvini sasa hivi navyoongea,sipendi niweke id yake hapa
napenda nitoe tahadhari kwa wana jf wenzangu
siasa ya nchi yetu imekaa vibaya
ulikuwa hujiu hapa ni mwendo wa uinvisible tu
ulikuwa hujiu hapa ni mwendo wa uinvisible tu