Usikubali mtu yeyote akujue hapa JF

nimekutana naye jana akaniangalia kwa jicho la husuda
nimekosa amani kabisa hapa jf,naomba msifanye makosa kama hayo wakuu!

huenda siyo magamba unayoyafikiria wewe..........................ila magamba ya mahaba..........................jicho la husuda linaashiria..................love is on the air...................just brace yourself for the kick of your lifetime.....................................unless of course you are not singular........
 
pole sana lakini kama ukiendelea kusumbuliwa toa report kwenye vyombo husika

huko si magamba tu wamejaa......................yaani afadhali upambane kivyako.......................huko watakubambikizia kesi...........
 
Duh afadhali umenistua nilikuwa na mpango wa kukutana na kidosho wa JF siku ya J2 itabidi nimpoteze ahaaa aaaa,kwanza unaweza kukuta ni lidume mwenzangu hafuu ikawa tabu bin tafrani JF kweli kiboko.
 
Anakufuatilia kivipi..???
 

Kuwa na amani tu vinginevyo wewe mtenda maovu
 
kama wewe ni 'mwanaharakati' humu ndani kuwa na tahadhari

lakini kama wewe unakuja na kuingia jukwaa la mmu,chit chat na jokes na sports...
ondoa wasi wasi

umesema kweli hawachelewi kukuhoji..
 
Duh afadhali umenistua nilikuwa na mpango wa kukutana na kidosho wa JF siku ya J2 itabidi nimpoteze ahaaa aaaa,kwanza unaweza kukuta ni lidume mwenzangu hafuu ikawa tabu bin tafrani JF kweli kiboko.
'''
  • Mbavu zangu mie kwa kicheko
 
Kwani magamba wana nini ndg yangu hadi ukose amani?.

Usiwe mwepesi wa kujitambulisha hovyo.
 
Mzalishe kwanza halafu urudi kwenye harakati....utaona anakuwa mpole.
 
Mzalishe kwanza halafu urudi kwenye harakati....utaona anakuwa mpole.

We ekselenti wewe?? Kwa hiyo unataka amsaliti my wife wake kwa ajili ya hilo limtu la magamba! Khaaa........si wataongeza mbegu mbovu jamani! Lol!!
 

Kamanda huyu best,hakuna ajabu ndiyo kati ya wale magamba sugu. Na bila shaka ndio hawahawa wanaotuchafulia hali ya hewa humu.
 
Pole sana mkuu, maisha ndo yalivyo. Angalia wasije waka kumwakyembe, magamba noma
 
mbona watu wengi wameweka majina yao kamili awaogopi kama wewe yupo dr.kitila mkumbo,Nape dr.slaa,zitto. mbona tunawajua kwa majina yao na hawaogopi kabisa au kuna tatizo lingine umefanya? maana vijana wa sasa hamkawii kumwaga sera
mhhh hilo nalo neno
 
hahahaha...oohhpsss.. ngoja nipumue maana tulishapata hofu tulikwisha tambulishana nikajua tayari nilifanya mistake....kumbe no ni sahihi kabisa...senkyuuu
Mmh! Pole eeh. Ukiona wamekujua sana njo na ID mpya. Watu tushajuana vya kutosha.
 
mi tayari nshachakachua mojawapo ya bnt member humu wa magamba na hana noma. Acha uoga we kijana.. Tena hcho kidemu cha magamba huwa kina mdomo sana humu jf na hata fb. Halafu kitamu hcho.
 
mbona watu wengi wameweka majina yao kamili awaogopi kama wewe yupo dr.kitila mkumbo,Nape dr.slaa,zitto. mbona tunawajua kwa majina yao na hawaogopi kabisa au kuna tatizo lingine umefanya? maana vijana wa sasa hamkawii kumwaga sera
Kwenye nyekundu alisha likataa....
 
Dah mkubwa unawaogopa magamba khaaaaa, mie namtaka huyo anayekusumbua aje akutane na mie
 
Hivi nape
alikataa hadi ile
picha kuwa si yake
wakati ule alipokataa
kuwa si yeye?hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…