Usilale kioo cha delressing table unajiona

Jini Kisiranii

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
1,912
Reaction score
2,254
Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
 
Hii itasaidiaje kupatikana amani ya kudumu huko mashariki ya kati?
 
wazee husema kioo kifunikwe wakati wa usiku mpk kukua kwangu najua kuwa ucku kioo kifunikwe Kuna namna wana maana yao pengne fatilia zaid
 
Kumbe Kioo ndio majanga, basi ndio maana kila nikichakata ule uchakataji, nagusa moja nikijitahidi sana ya pili, baada ya hapo chali, nahisi hiki kioo kilichopo magetoni kinanimaliza nguvu


Haya sasa naenda kukitoa halafu naliamsha dude nione mziki wake🤣
 
Imani ni kitu cha kijinga sana.. Haswa mambo mnayosema ya kiroho
 
Haya mambo anayajua sana Mshana Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…