Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Hii itasaidiaje kupatikana amani ya kudumu huko mashariki ya kati?Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Kwanza kwanini kabati la kuvalia nguo aweke chumbani? Ama analala dressing room?wazee husema kioo kifunikwe wakati wa usiku mpk kukua kwangu najua kuwa ucku kioo kifunikwe Kuna namna wana maana yao pengne fatilia zaid
Imani ni kitu cha kijinga sana.. Haswa mambo mnayosema ya kirohoHabarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Haya mambo anayajua sana Mshana JrHabarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Mkuu uko deep sana...vipi gharama nikitaka copy A3 format black and white?Kioo ni sawa na photocopy image yako huwa inabakia kwenye kioo.
Wale wapumbavu wa usiku hawahitaji kushughulika na wewe live wanadili na image yako kwenye kioo
ChaiKioo ni sawa na photocopy image yako huwa inabakia kwenye kioo.
Wale wapumbavu wa usiku hawahitaji kushughulika na wewe live wanadili na image yako kwenye kioo
Ya rangi au tangawizChai
Usishangae! huo ndo ukweliJamani 🤣🤣