Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo