Usilale na Simu

na inakuwaje wakati muda wote unakuwa na simu iko mfuko wa shati au suruali, au mionzi hii hatari ni usiku tu?
 
Still wondering if the problem is to "sleep with the phone" or just staying closer to the phone(most of the time)...bse if it is earlier(that's sleeping with the phone) is when radiation occurs, how does it(cell) know umelala for you to be at risk?
Labda tatizo ni kuweka karibu na kichwa, kwa maana ya kwamba ikiwa karibu na kifua au tumbo siyo shida. Dada zetu wanaweka simu kwenye sidiria. Na sisi akina baba kila siku tunazunguka na simu mifukoni mwetu, hizo radiations huwa hazitoki wakati huo? Kama tunasema kuweka simu chini ya mto tukiwa tumelala ina madhara, basi tuseme pia kwamba kuweka simu mfukoni ni makosa pia. Na wale akina mama wanaweka kwenye matiti pia waache. Sasa sijui tutazibebea wapi.
 

That's why am still wondering, what is the mechanism hapa?..Kwamba the penetration diff. ya radiation through soft tissues na bone(skull)..
-Does radiation occurs simu ikiwa on or not?
-Je, ikiwa on, ni muda wote au pale tu inapotumika?
-Ni aina gani ya simu za mikononi(viganjani) au hata za mezani(landlines)?
-Je, ni wakati mtu amelala tu karibu na simu?
-Madhara hasa ni yapi, ni kwa muda gani hutokea!
 
Yes unajua nini. Mfano hizi smartphones zina applications ambazo zina run hata kama simu hujapgiwa.zinacheck kwenye network kupata kama msgs au chochote kimeingia kwenye simu yako.hapo nadhani umenipata kidogo
 
Kuhusu muda wa wewe kudhurika hadi sasa wataalamu wanasema madhani kuanza kuonekana ni miaka mingi ambayo kwa sasa wengi hatufikishi
 
miale unaiona 9t tu? afu miale inatofautiana cm na cm co zote mkuu, afu huwez tembea nayo kwenye mfuko wa shat afu ucku ndo unasema eti kuna mionz. washauri wa2 ma2mz ya cm tangu mchana co 9t 2
 
asante kwa kutudhaharisha kuhusu afya zetu.
 
kikubwa nikuachana na simu kabisa na kurudi tena kwenye barua
 
Duh huu ushauri utaturudihsa kwenye spousal brawls again.........imagine simu ulale nayo mbali si balaa?


itasaidia pia kupunguza ugomvi wa sms za usiku
mnakuta mmelala saa 8 usiku kwiii kwiii sms imeingia kwa mume au mke utasikia mmh nani huyo usikuu lete tuisome wote basi hapo mashaka tupu ukute ni msg ya mapenzi imekosea njia panachimbika
 
Asante kwa taarifa Mkuu. Wana JF tuzingatie kwa manufaa ya afya zatu
 
na inakuwaje wakati muda wote unakuwa na simu iko mfuko wa shati au suruali, au mionzi hii hatari ni usiku tu?

kuna mwaka nilisikia kuweka simu mfuko wa suruali kunasababisha upungufu wa nguvu za kiume na ukiweka kwenye mfuko wa shati inasababisha ugonjwa wa moyo sababu ya ile mionzi ya microwave na mtoa mada akasema simu zenye mionzi mikali ni hizi simu fake tena hakuishia hapo akasema hata matumizi ya kuongea na simu muda mrefu inaweza kukusababishia matatizo ya ubongo akarecomend matumizi ya Blutooth headset na Headphone au kutuma sms. Mi nikaanzisha mchezo wa kuweka simu mfuko wa nyuma, nikajipiga marufuku kununua simu fake yaani hata nikifulia nanunua nokia ya tochi siku zinaenda tena nahakikisha ni Original, naweka nakaa mbali na simu pindi napokuwa nimelala, ila sasa nna tatizo la kuongea na mtu kwenye simu muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…