Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
USILAZIMISHE AWE NDIO YULE UNAYEMTAFUTA, UTATESEKA SANA
Mambo ya kulazimishana kwenye mahusiano/urafiki limekuwa janga kubwa la Dunia na wengi wanaoingia kwenye huu mtego hujikuta matesoni.
VIASHIRIA KUWA UPO UNAMLAZIMISHA AWE YEYE ILIHALI SIYE.
1.Unamkosoa sana.
2.Kila siku unambadilisha afanane na umtakaye.
3.Mahusiano linakuwa eneo unalolifikiria sana.
4.Unaona akiwa kwenye hadhi flani ndio utampenda sana.
5.Hata mavazi unataka avae sawa na yule umtakaye.
6.Unageuka mshauri wa mahusiano kila mara
SABABU ZINAZOFANYA UJIKUTE KWENYE KUMLAZIMISHA AWE NDIYE.
1.Kupita na yoyote baada ya kumkosa umtakaye kwa matumaini kuwa UTAMBADILISHA.
2.Kuingia kwenye mahusiano haraka na bila kupona baada ya kuachwa na umpendaye.
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Mambo ya kulazimishana kwenye mahusiano/urafiki limekuwa janga kubwa la Dunia na wengi wanaoingia kwenye huu mtego hujikuta matesoni.
VIASHIRIA KUWA UPO UNAMLAZIMISHA AWE YEYE ILIHALI SIYE.
1.Unamkosoa sana.
2.Kila siku unambadilisha afanane na umtakaye.
3.Mahusiano linakuwa eneo unalolifikiria sana.
4.Unaona akiwa kwenye hadhi flani ndio utampenda sana.
5.Hata mavazi unataka avae sawa na yule umtakaye.
6.Unageuka mshauri wa mahusiano kila mara
SABABU ZINAZOFANYA UJIKUTE KWENYE KUMLAZIMISHA AWE NDIYE.
1.Kupita na yoyote baada ya kumkosa umtakaye kwa matumaini kuwa UTAMBADILISHA.
2.Kuingia kwenye mahusiano haraka na bila kupona baada ya kuachwa na umpendaye.
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako