Usilete swaga za nai-nai uka......!!!??

Wapiii, huwa hamsemagi ukweli nyinyi, you're just cheating us ili tuwaone watakatifu....:!!

kama huniamini muulize my classmate mpigamsuli atakupa all details about me! kwanza I hate cheating!
 
laiti ungejua wangu hata ucngesema ivo! tatizo hunijui, naogopa izo mambo mie!


Mungu akutangulie mpendwa, if you're talking the reality of it....

lakini najua ipo siku ntakukamata kule MMU unaomba ushauri, oooh mara he is'nt caring, no surprises, not spending some dollars for me nk nk nk
 
kama huniamini muulize my classmate mpigamsuli atakupa all details about me! kwanza I hate cheating!


Nyoooo!! Yan labda anipe trusted written documents ndio naweza kumuamini lakini kwa mdomo akaaa... yule kaka muhuni-muhuni!!
Samahani mpigamsuli
 
Last edited by a moderator:
Mungu akutangulie mpendwa, if you're talking the reality of it....

lakini najua ipo siku ntakukamata kule MMU unaomba ushauri, oooh mara he is'nt caring, no surprises, not spending some dollars for me nk nk nk

ahahahaaaaa! tatizo sio kuwa nae! kwani dhambii? tatizo kutojiheshim so hata ukinibamba mmu usinisute best! nishauri tu kwaupendo
 
Nyoooo!! Yan labda anipe trusted written documents ndio naweza kumuamini lakini kwa mdomo akaaa... yule kaka muhuni-muhuni!!
Samahani mpigamsuli

ahahahaaaa! classmate ya kweli haya? hebu kuja huku! huyu jamaa mgomv sana! ila usimtukane
 
Last edited by a moderator:
ahahahaaaaa! tatizo sio kuwa nae! kwani dhambii? tatizo kutojiheshim so hata ukinibamba mmu usinisute best! nishauri tu kwaupendo


Utu tumchezo twa kubebana kitandani hakatuhusu, tuwaachie wakubwa
worry out mpenda i won't disappoint you nikikufumania kulee mmu
 
Do you, and let others do them.

Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Pilipili ya shamba inakuwashiani?

Wengine watakwambia hii ndiyo age ya kufanya vituko wasije wakafikia ukomo wa utu uzima na kuanza kufanya fujo huko, utasemaje?

Wengine watasema in a Darwinian world, you are supposed to celebrate their "stupidity".

Mtu akikwambia ana masaa 24 ya kuishi na anajiblast kufurahia maisha utamwambiaje?

Unataka kuwapangia watu wazima wa Chuo Kikuu jinsi ya kuishi?
 
mmh! huwa unatafuta nn huko na ww manake nilipitaga cku moja tu sijarudi tena.

bestiii mi kule huwa nachungulia chungulia wakubwa tu! cfanyagi chochote kile! ila wewe mmh!
 
nilikuwa naenda kule kwenye gadgets sa si ndo unapitia njia hiyo!


Usinitanie mie, kwanza nilivyokuona huku nilijua umekuja kujitambulisha, coz you're fameless kwa hii jukwaa....
siku nikukubahatisha kuleee lamza nikuchambe walahi
 
Utu tumchezo twa kubebana kitandani hakatuhusu, tuwaachie wakubwa
worry out mpenda i won't disappoint you nikikufumania kulee mmu

teh teh! mi natuogopa uto tumchezo! kweli bana muda bado labda baadae sana!
 
bestiii mi kule huwa nachungulia chungulia wakubwa tu! cfanyagi chochote kile! ila wewe mmh!

mbona hata mimi nilichungulia tu,.nikaona watu wa ajabu ajabu sijui kina madam,heaven on earth namuonaga huku kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…