Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Maisha yangu yakawa magumu sana, sema namshukuru sana Sity alinipiga tafu sana, mbali na kunipa mbusu ila mambo mengine ya kimaisha alikuwa ana nisave sana, nlichokuwa nampendea si mchoyo,

Alafu anapenda kugegedwa ile mbaya, yaani mi nlikuwa siombi eti, yaan ye akija tu anajua nini cha kufanya, kuna wakati night kali ananishtua usingizini anataka mambo, basi mi najipigia tu nnavyotaka, Au mda mwingine anapika kajifunga mtandio mwepesi tu kila kitu ndani unaona, basi mzuka ukinipanda namfata pale pale jikoni ananibanjulia mzee nakula mzigo,

Daah niliinjoy sana maisha na Sity, alafu anapenda nikiwa nae nijifeel proud kuwa naye, Utakuta tunatembea barabarani mara kaniegemea mara kanishika kiuno, Au tupo sehemu tunakula anajua kabisa sina hela, basi anatoa hela ananipitishia chini ya meza kisiri siri ili nilipie mimi, Au yupo na class mate wenzake mara anilalie kifuani, daah sa haya mambo mi mtoto wa kijijini naona aibu, ila ndo hivo maisha yalikuwa,

Sasa baada ya kutafuta kazi sana bila mafanikio, kuna siku nikaona tangazo la kazi kwenye nguzo, mshahara lak 3, nikasema huu mbona unanitosha, nikachukua namba zao nikawavutia waya, wakanielekeza wapi walipo, wakasema ni Tabata kinyerezi kesho niende, basi kesho yake nikabeba cv zangu huyoo, sina hata mia mfukoni, hivyo ikabidi nikanyage kwa mguu, ni mbali kichizi ila nikafika, kuna nyumba ina geti jeusi,

Nikaelekezwa nikaingia, basi nikawapa cv zangu pale wakasema watanipigia, nikatoka nikarudi paka tabata mataa pale nikashika njia naelekea vetenari hapo, kuna sheli ya Oil com pale nliona tangazo lao nao wana kazi,

Basi nikakanyaga paka nikafika , nikamuulizia jamaa anauza mafuta pale akaniambia hakuna tangazo kama hilo, hao ni matapeli ndo wanabandika hayo matangazo, tena nna bahati nimeenda mwenyewe ningewapigia lazima wangenitapeli, nikasema poa, nikaondoka nikarudi hadi tazara, nikashika njia kuelekea kiwanda cha soda cha pepsi, nikakanyaga nikafika, nikaacha cv yangu pale kwa walinzi nikaondoka, kwa vile kampuni ya tata ipo maeneo yale nako nikaenda ingawa wao wakasema wanatumiaga zaidi agents kupata wafanyakazi ila nikawaomba tu wachukie cv yangu huwez jua huko mbele,basi wakachukua,

Nikaanza sasa safari ya kurudi geto, hapo miguu inauma balaa, Nikafika geto nimechoka vibaya sana nikaishia kulala, nakuja kushtuliwa na Da J kanletea msosi, akaniambia we vipi unalala lala una mimba, au upo period, unajua tena Da J tunataniana,

Mi namwambiaga yaan we siku ukiingia kwenye 18 zangu nakupinda nakula mzigo huo na nna kupa mimba siku hiyohiyo, anasema aaaah wapi wewe, labda usubiri nimekufa, basi tunataniana hivyo yaan, ni mdada flani kanizidi age ila ni mcheshi sana alafu yupo simple,

Basi nikala nikalala siku ikaisha, basi maisha yangu yakawa hivyo, kutembea kutoka geto hadi posta na kurudi kwangu kawaida sana,

Basi kesho yake wale jamaa wakanicheki, wakasema kesho yake niende asubuhi na barua ya mwenyekiti wa mtaa na passport, nikafanya mpango nikapata hivyo vitu, kesho yake nikadamka mapema sana ili niwahi kufika pale, nikakanyaga kama kawaida yangu, nikafika pale , kuingia nakuta vijana wengi wamepanga mstari kama jeshini vile, wanapiga jaramba na mazoezi, basi mi nikapita nikaenda huko ndani, Nikakutana na meneja pale akanihoji hoji pale, mara akamwita jamaa mmoja akamwambia anipe mafunzo, basi nikaenda na yule jamaa,

Kutoka nje nakuta nawengine nao wanatawanyika wamebeba mifuko yao, mabeseni na vyombo, na sisi tukabeba yetu, nikasema khaa!!! kazi yenyewe ndo hii, nikacheka sana moyoni, leo injinia anaenda kutembeza mabeseni hatari,

Basi tukatoka nje getini pale, bana mi nikamchana jamaa live, nikamwambia mwanangu kazi yenyewe ndo hii, mi staweza kwa kweli akaniliza kwanini? Nikamwambia nimekwambia siwezi, nikaanza kuondoka zangu, jamaa ananiita, oya twende basi kwa meneja ukamwambie, nikamwambia we mwehu nini, meneja unamjua wewe, nikala zangu kona nikimwacha jamaa kasimama pale kapigwa na butwaa asijue cha kifanya,

Basi nikarudi geto, Sity akaja nikamsimulia acha acheke, alicheka paka aka kaa chini machozi yanamtooka,

Siku moja natoka zangu pale meridian bet ( Ni meridian bet na si primier beti kama nlivyosema mwanzo), nikapita zangu short cut moja pale riverside, unapita nyuma ya ukuta wa tanesco unakuja kutokea kanisa la ufufuo na uzima, una vuka barabara ya morogoro, unashuka bondeni unavuka daraja la mbao una ebukia msewe,

Basi nikiwa kwenye ile njia kabla sijafika kwenye ile mitambo ya gesi, sina hili wala lile mwanangu nilishtukia nimekula roba iyo, Nikahisi kama koo linatoka vile, wakati najibaraguza niichomoe machizi wengine wananizama mifukoni, kuja kuniachia nikapata kama wenge kwanza, macho hayaoni vizuri, kugeuka nyuma sioni mtu, mzee nataka kupiga kelele ila sauti haitoki,

Nikajinyoosha shingo pale, kujisachi nikakuta simu yangu smart hamna, nlikuwa na buku 2 mfuko wa nyuma nayo hamna,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Itaendelea
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Maisha yangu yakawa magumu sana, sema namshukuru sana Sity alinipiga tafu sana, mbali na kunipa mbusu ila mambo mengine ya kimaisha alikuwa ana nisave sana, nlichokuwa nampendea si mchoyo,

Alafu anapenda kugegedwa ile mbaya, yaani mi nlikuwa siombi eti, yaan ye akija tu anajua nini cha kufanya, kuna wakati night kali ananishtua usingizini anataka mambo, basi mi najipigia tu nnavyotaka, Au mda mwingine anapika kajifunga mtandio mwepesi tu kila kitu ndani unaona, basi mzuka ukinipanda namfata pale pale jikoni ananibanjulia mzee nakula mzigo,

Daah niliinjoy sana maisha na Sity, alafu anapenda nikiwa nae nijifeel proud kuwa naye, Utakuta tunatembea barabarani mara kaniegemea mara kanishika kiuno, Au tupo sehemu tunakula anajua kabisa sina hela, basi anatoa hela ananipitishia chini ya meza kisiri siri ili nilipie mimi, Au yupo na class mate wenzake mara anilalie kifuani, daah sa haya mambo mi mtoto wa kijijini naona aibu, ila ndo hivo maisha yalikuwa,

Sasa baada ya kutafuta kazi sana bila mafanikio, kuna siku nikaona tangazo la kazi kwenye nguzo, mshahara lak 3, nikasema huu mbona unanitosha, nikachukua namba zao nikawavutia waya, wakanielekeza wapi walipo, wakasema ni Tabata kinyerezi kesho niende, basi kesho yake nikabeba cv zangu huyoo, sina hata mia mfukoni, hivyo ikabidi nikanyage kwa mguu, ni mbali kichizi ila nikafika, kuna nyumba ina geti jeusi,

Nikaelekezwa nikaingia, basi nikawapa cv zangu pale wakasema watanipigia, nikatoka nikarudi paka tabata mataa pale nikashika njia naelekea vetenari hapo, kuna sheli ya Oil com pale nliona tangazo lao nao wana kazi,

Basi nikakanyaga paka nikafika , nikamuulizia jamaa anauza mafuta pale akaniambia hakuna tangazo kama hilo, hao ni matapeli ndo wanabandika hayo matangazo, tena nna bahati nimeenda mwenyewe ningewapigia lazima wangenitapeli, nikasema poa, nikaondoka nikarudi hadi tazara, nikashika njia kuelekea kiwanda cha soda cha pepsi, nikakanyaga nikafika, nikaacha cv yangu pale kwa walinzi nikaondoka, kwa vile kampuni ya tata ipo maeneo yale nako nikaenda ingawa wao wakasema wanatumiaga zaidi agents kupata wafanyakazi ila nikawaomba tu wachukie cv yangu huwez jua huko mbele,basi wakachukua,

Nikaanza sasa safari ya kurudi geto, hapo miguu inauma balaa, Nikafika geto nimechoka vibaya sana nikaishia kulala, nakuja kushtuliwa na Da J kanletea msosi, akaniambia we vipi unalala lala una mimba, au upo period, unajua tena Da J tunataniana,

Mi namwambiaga yaan we siku ukiingia kwenye 18 zangu nakupinda nakula mzigo huo na nna kupa mimba siku hiyohiyo, anasema aaaah wapi wewe, labda usubiri nimekufa, basi tunataniana hivyo yaan, ni mdada flani kanizidi age ila ni mcheshi sana alafu yupo simple,

Basi nikala nikalala siku ikaisha, basi maisha yangu yakawa hivyo, kutembea kutoka geto hadi posta na kurudi kwangu kawaida sana,

Basi kesho yake wale jamaa wakanicheki, wakasema kesho yake niende asubuhi na barua ya mwenyekiti wa mtaa na passport, nikafanya mpango nikapata hivyo vitu, kesho yake nikadamka mapema sana ili niwahi kufika pale, nikakanyaga kama kawaida yangu, nikafika pale , kuingia nakuta vijana wengi wamepanga mstari kama jeshini vile, wanapiga jaramba na mazoezi, basi mi nikapita nikaenda huko ndani, Nikakutana na meneja pale akanihoji hoji pale, mara akamwita jamaa mmoja akamwambia anipe mafunzo, basi nikaenda na yule jamaa,

Kutoka nje nakuta nawengine nao wanatawanyika wamebeba mifuko yao, mabeseni na vyombo, na sisi tukabeba yetu, nikasema khaa!!! kazi yenyewe ndo hii, nikacheka sana moyoni, leo injinia anaenda kutembeza mabeseni hatari,

Basi tukatoka nje getini pale, bana mi nikamchana jamaa live, nikamwambia mwanangu kazi yenyewe ndo hii, mi staweza kwa kweli akaniliza kwanini? Nikamwambia nimekwambia siwezi, nikaanza kuondoka zangu, jamaa ananiita, oya twende basi kwa meneja ukamwambie, nikamwambia we mwehu nini, meneja unamjua wewe, nikala zangu kona nikimwacha jamaa kasimama pale kapigwa na butwaa asijue cha kifanya,

Basi nikarudi geto, Sity akaja nikamsimulia acha acheke, alicheka paka aka kaa chini machozi yanamtooka,

Siku moja natoka zangu pale meridian bet ( Ni meridian bet na si primier beti kama nlivyosema mwanzo), nikapita zangu short cut moja pale riverside, unapita nyuma ya ukuta wa tanesco unakuja kutokea kanisa la ufufuo na uzima, una vuka barabara ya morogoro, unashuka bondeni unavuka daraja la mbao una ebukia msewe,

Basi nikiwa kwenye ile njia kabla sijafika kwenye ile mitambo ya gesi, sina hili wala lile mwanangu nilishtukia nimekula roba iyo, Nikahisi kama koo linatoka vile, wakati najibaraguza niichomoe machizi wengine wananizama mifukoni, kuja kuniachia nikapata kama wenge kwanza, macho hayaoni vizuri, kugeuka nyuma sioni mtu, mzee nataka kupiga kelele ila sauti haitoki,

Nikajinyoosha shingo pale, kujisachi nikakuta simu yangu smart hamna, nlikuwa na buku 2 mfuko wa nyuma nayo hamna,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Itaendelea
Machizi boti wamekupiga kabali pamoja na shida zote hizo[emoji23][emoji23]
 
SEHEMU YA KUMI

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Tukiwa tumekaa nje kwenye benchi tunapiga stori mara tukaitwa kule ndani, Basi nesi akatuambia majibu yenu tayari, ila kwa kuwa ninyi ni wapenzi na mna aminiana basi kila mmoja atasoma majibu ya mwenzake, tukasema sawa, basi mi nikapewa ya Sity na Sity akapewa yangu, Basi sity alipofungua majibu asome mara ghafla akashtuka kwa nguvu,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Moyo ukapasuka paaa!! Nikamuuliza Sity Vipi? Akatabasamu, Akasema, Nakutania bana, majibu yako mazuri, Yaani sema nilijizuia tu ila nilitaka nimkate bonge la bao, nikajisemea kimoyomoyo huyu analetaje utani kwenye mambo ya msingi, kwa kweli niliogopa sana tena ukizingatia zile mishe zangu za buguruni,

Basi nikacheki na majibu yake yapo poa, Yule nesi akatuhusia sana, kwamba tuwe waaminifu kila mmoja kwa mwenzake kama tunataka tuishi vizur, pia akasema yale majibu si ya mwisho, inabidi tukae miezi mitatu halafu turudi tena tupime hapo ndo tutakuwa na uhakika wa afya zetu,

Moyoni nikajisemea huyu nesi vipi, hajui kuwa hii mashine sjaiburuza bado, kwaiyo niisubirie tena miez mitatu, aaaah itakuwa ngumu aisee, Basi tukaitika pale sawa sawa, akatupa vipeperushi vyake tukaondoka, Tukasema tuelekee geto msewe poa,

Basi hakuna siku niliona msewe ni mbali kama siku ile, yaani tunatembea naona hatufiki, yaani natamani tufike nimrukie lakini daah ndo hivyo hatufiki aisee, Njiani huko masela wanamkodolea macho manzi balaa, maana huko nyuma kafungasha si kitoto, Wanaona nafaidi, kumbe mimi kama wao tu, wote tunakula kwa macho,

Kweli bana tukafika msewe, uzuri tukakuta kidosho hayupo, tulipofika tu ndani nikamtupia kitandani, nikaanza kula mambo yetu yale, mtoto akaonesha ushirikiano, tukagaragarazana kitandani, mara nikafanikiwa kumchojooa nguo zote akabaki na chupi, nayo nikaitoa, nikaanza kupima oil, mzee ni balaa najua wote mnajua yaliyoendelea, ila mtoto si kwamba kapewa tu mzigo ila anajua kuutumia, maana mzigo unazungukia pale kwenye kiuno ni hatari aisee

Basi nikafanikiwa kula tunda pale, tena nikajipimia tani yangu, tukamaliza mtoto akapika pale tukala, akaenda kuoga akavaa nikamsindikiza, hapo ndo ikawa mwanzo wa mapenzi mimi na Sity, mtoto alinikubali sana, kuna story nlikuwa naskiaga kwamba mabonge yanapenda kizembe kumbe kweli bana, Sity alinipenda balaa,

Basi shule ikaendelea, semista ikaisha, ikaanza nyingine nayo ikakata, Tukawa tumehitimisha safari ndefu ya miaka minne pale chuoni, Shule ndo imeisha hivyo,

Basi tukabaki mimi na kidosho pale geto, mziki ukaanza sasa kutafuta kazi, kwa vile matokeo ya mwisho bado, kwaiyo tukaenda chuo tukapewa transcript ya miaka mitatu ndo tukaanza nayo kutafuta kazi, Banaeeh hapo ndo nikaanza kujua kumbe kutafuta kazi ni kazi kuliko kazi yenyewe,

Tafuta kazi weee , ingia kwenye mitandao tafuta kazi wapi, paka matokeo yakatooka watu wakafanya graduation pale mlimani city , sisi hatukwenda maana hata hela ya joho hatukuwa nayo, Maisha yakaanza kuwa magumu maana tulizoea bumu, sasa hakuna cha bumu wala nini,

Basi tukaenda chuo kuchukua vyeti vyetu tukiamini vitasaidia kutafuta kazi ila wapi, Kipindi hicho ndo serikali ilikuwa imesitisha hajira, sijui mambo ya vyeti feki mi sijui mambo ya wana siasa,

Basi mwaka ukapinduka vidume mambo bado yamekaza, ilipofika mwez wa sita kidosho maji yakamfika shingoni, akasema yeye anarudi zake mkoani akacheki ishu nyingine, nikasema poa, mi sirudishi majeshi nyumbani, Ukizingatia kijijini dogo kashanipiga gap kubwa, yeye ana mji wake na familia mimi sina chochote zaidi ya laptop, na ntaenda kijijini kufanya nini, kama ni kulima si bora ningeanza kulima toka nilipo maliza shule ya msingi, nimekuja huku kufanyaje sasa, si ntakuwa nimepoteza muda bure, alafu hata elimu yangu itakuwa haina maana sasa kama ntarudi kuanza kutegemea wazazi, ntakomaa paka kieleweke,

Basi mzee nikabaki mwenyewe geto, Fikiri natakiwa nilipe kodi elf 50 kwa mwezi, bado umeme na maji, sjui kulipia taka taka, na kazi sina, Hapo ndo utajua kwanini mafua yanazibaga pua moja tu,

Basi mzee sikukata tamaa, bado napambana kutafuta kazi ila kila siku ni bora ya jana, Yaani aliekuwa ananiweka mjini ni Sity sasa, maana yeye ndo alikuwa anantumia elfu tano, nakula, mara analipa umeme paka kodi akawa analipa,

Akawa ananipa moyo sana kwamba nisijali ntapata kazi tu na mambo yatakaa poa, mwingine aliyekuwa ananisaidia ni dada mmoja wa chumba cha jirani, Alikuwa anaitwa Jamila, tukazoea kumuita Da J, Yeye akitoka mishe zake huko basi anapika msosi pale ananipa, siku nyingine nakwama umeme anantolea hivyo yaani,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Itaendelea
Hii hatua nyie isikieni tu kwa mwingine.😂
 
Back
Top Bottom