Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Huwa wanasaidiwa nauli, iwapo nauli ikiwa kubwa huwa wanaombewa msaada wa kusafirishwa kwa Polisi Trafic.

Nimewahi kuona Jinsi Trafic wanavyowaombea lift watu kwenye Mabasi ya mikoani, wanasema huyu ni Askari mwenzetu, kama hakuna siti anaombewa akae pale mbele karibu na Dereva. Huwa Madereva Hawakatai ombi likitoka kwa Polisi.

Mimi mwenyewe kuna ndugu yangu ni Trafik ameshawahi kunisafirisha kwa staili hii bila kulipa nauli.
 
Acha shobo. Tuliza kalio.
 
He is so negative minded! Kila Binadamu Ana mapito yake na Mitihani yake kwenye hii Dunia. Hata hao Mitume wa Mungu walipitia Mitihani mizito.
That mindset discussed in details in Bible katika kitabu Cha Ayubu, hakutenda kosa lakini mabalaa yakamukuta. Rafiki zake walikuwa wanamwambia atafakari alichimukisea Mungu, maana waliamini hayawezi mkuta bila dhambi. But haikuwa hivyo. Na hakuwa na dhambi Wal kosa lolote
 
He is so negative minded! Kila Binadamu Ana mapito yake na Mitihani yake kwenye hii Dunia. Hata hao Mitume wa Mungu walipitia Mitihani mizito.
Wamekariri na ndio Hawa wanaibiwa na waganga ama wachungaji kuwa njoo uombewe ama usafishwe nyota ili Mambo yako yanyooke. Ivi wee una akili mtu yakinyooka hakuna magari ,simu, nyumba nzuri Mana shida ndizo zinazofanya mtu anakasirika anawaza kutafuta njia ya kutatua ishu fulani.kila mtu awe na ndege kweli. Yaani haufanyi kazi hujawahi uza hata nyanya halafu unataka uende Japan ukajaze meli magari yako ulete utuuzie eti miujiza. Uliona wapi
 
Sasa huyo ni ndugu yako ambaye ni trafiki.
Askari kukupa hela ambayo haipo kwenye bajeti ni ngumu mno, kwanza yeye anakuwinda na kukubambikza kesi ili akukamue hela
 
Tena ndio wanaopewaga mateso ili watoke huko waje kwa shetani. Man ahadi ya Mungu ni uzima wa milele na peponi Bata batani
 
KIDAGAA akasema "Imeisha hiyoo"

🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…