Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Dah!simshauri Bora alivyouchuna wanawake hawapendi story za kufeli,Sity hapo anangoja Engineer wake arudi na hela...angeenda ungemsikia Sity siwezi kudate na mtu asiye na future Mimi!...
Hapo si angeenda kuwaambia nimepata mchongo wa kwenda DRC bye bye...nayo ni shida?
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mkuu huo mlango wa kontena ulipotokea nje ulikuwa wazi kumbe, milango ya makontena si huwa inafungwa kwa nje ??
 
Sijui Lori litafika salama maana huyu Hana akili ana majanga sana
Matukio mengi yanayomkumba ni kutokana na bahati mbaya na wala sio kukosa akili. Mfano matukio makubwa zaidi kama ya kuvunjiwa ghetto na kuibiwa kila kitu, kunusurika kuuawa na kufungwa jela ilikuwa bahati mbaya tu, tungeacha hizi judgement jamaa amalizie story yake
 
TUSUBIRI VIMBWANGA BAADA YA KUFIKA CONGO. HUYU MTU HANA AKILI. Akili Sina ataharibu tu akifika Congo, subiri muone.
Huyu ni engineer mkuu, utasemaje hana akili?
Matukio mengi yaliyomtokea ni bahati mbaya wala sio kukosea judgement.
Mfano unatoka kutafuta kazi unavamiwa unapigwa kisha unafungwa, hapo ni sababu alikosa akili?
 
Hii ndio episode pekee tu ambayo haina majanga
 
Usipanick brooo!Mimi sijamjudge,Mimi nimetaja jina lake....inaonyesha uko serious na story wakati author humjui,....unajifanya uko serious na story kumbe hujui Kama uko serious.....Kwanza Bora akatishe tu Kama Mpwayungu maana wasomaji Wenyewe hata jina hammjui bwana
 
Mbona sijapanick, mimi nimeongea tu nilichokiona kwa mtiririko wa story, kuwa ni bahati mbaya zaidi kuliko kukosea uamuzi, hata kama tukichukulia ni fictional, bado hoja ni hiyo hiyo
 
Huyu ni engineer mkuu, utasemaje hana akili?
Matukio mengi yaliyomtokea ni bahati mbaya wala sio kukosea judgement.
Mfano unatoka kutafuta kazi unavamiwa unapigwa kisha unafungwa, hapo ni sababu alikosa akili?
Utani mkuu. Tunampa mzuka Akili Sina kumalizia story kkkkkkk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…