Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Ikikaziwa na "UTAJUA HUJUI"
 
Vijana mjifunze kufanya maamuzi sahihi....story nzima ukiiangalia Ni uwezo was kuprocess mambo kichwani...
Na kazi kubwa ya mapepo ni kuprocess kwa niaba yako!!
Mapepo ya Bwagamoyo yapo kazini.
 
Naam hatimaye story imefika mwisho big up sana kiongozi.kwa maoni yangu ni kuwa hii story inaukweli 70% ,30% iliyobaki ni chai na vitumbua vyake.
story ya kweli ilishia pale jamaa anatoka polisi moshi na kuingia kwenye kontena la lori linaloelekea dar huku kwengine chai nyingi kuliko ukweli.hasa kwenye story yake ya kimahusiano.but anyway you're a good storyteller mkuu keep it up.
 
Kadri navoendelea kuishi, naendelea kugundua kwamba wanawake ni chanzo cha matatizo mengi sana kwa sisi wanaume mfano

1.kule moshi ulienda jela kisa mwanamke alietoa ushahidi asiokuwa na uhakika nao

2.Anko nae hapo kaingia kwny ugomvi kisa mwanamke,,sasa ugomvi umekuzwa mpaka umekuwa wa kitaifa (waTZ vs wamalawi)

3.kuna story ya mpwayungu village ye alifukuzwa geto usiku kisa demu

4.huyo huyo mpwayungu akaenda huko mkoani akafukuzwa kijijin kwa sababu alitaka mbususu ya kabint ka mwalimu

Asee naomba huduma ya RISUG ifike bongo fasta mana hawa wanawake watamaliza sana watu
 
kashawatia mkosi wenzake safari mimekuwa ngumu
Asa apo kamtia mkosi nani? Kwan anko si alienda mwnyw kutafta mbususu? Mbna unalazmisha jamaa aonekane kama yy ndo tatzo? Yeye anahusikaje apo?
 
I am soo happy for u my brother. Jamani Sity[emoji24][emoji24][emoji24] roho imeniumaaaa dah

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Script ilivo ilikua lazima Sity atoweke kwenye maisha ya jamaa kwa namna moja au nyingine. what if Sity angekua hai. Happy ingekuwaje na tayari alikua kesha muahidi kumuoa na pia alishamzalia.
 
Akili sina akushike mkono na yeye kama wewe tu anakula dagaa wa Nyasa huko malizia story mwisho kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kama jamaa ameweza kupata access ya kusimuliwa story kama hii na Engineer means asingekuwa anakula dagaa nyasa saivi.
 
Kuna watu wa ajabu sana. Afu huyo anayejifanya kuhoji ndo unamkuta yupo kwny huu uzi saa24. Si aende kwny nyuz zngne huko ambako anaona ni za kweli? Qmmk zao
 
Dah Asante kwa simulizi hii nzuri


Ukipata nyingine Leta vitu mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hembu kwanza ncheke mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati mhusika wa stori sio ww?
 
Akili sina leta nyingine sasa ulio hadithiwa na mwingine,
Watu mshanogewa asali naona unamtuma jamaa akatuletee mzinga mwingne ili tuendelee kulamba asali[emoji28][emoji28]uyu jamaa ana kipaji cha uandishi knoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…