Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Mkuu Akili Sina umetisha, story tamu sana hii. Nipo maguu hapa
 
shukrani sana mkuu kwa kumalizia historia yako ila hayo mengine tunamuachia mungu
 
Kaandika realism kabisa ya wanafunzi hasa mwaka wa kwanza....udsm nimesoma..kila angle anayoongelea naielewa....mpaka Bagamoyo nimewah sindikiza pia rafik yangu kwa mganga lkn yeye alikuwa na kesi nyingine.....pure true story....sijui sahv utakuwa na status gani kiongozi...na huogopi id yako kuwa identified maana unaweka siri zako waziwazi hivi....labda una uhakika hazita leak lkn.....japo bado story inaendelea.....hahaaaaaaa maisha....Gongolamboto Explossion tragedy....Never forgotten[emoji28], enzi hizo nilikuwa Nachingwe Lindi.
 
Daah..leo ndio nmeimaliza..kongole kwako mwandishi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Jamaa una akili nyingi, lkn changamoto hazituishi na zipo kwa ajili yetu, maliza yako umetupiga na deception moja kali kabisa.

Lkn tumekuelewa, hii story hujahadithiwa wala nini ni purely yakwako, ila kwa sababu za privacy umeamua kwenda nasi kwa namna hii.

Kama ni chumvi, umeweka kidogo sana kukoleza story, lkn kwa mtoto wa kijijini kama mm na nimekuja soma udsm pia, nimekuelewa.

Endelea na maisha na ishi maisha yako...ila Mungu yupo, jikabidhi kwake maana majsha flani huwa yanarudi ghafla ukaja leta story tena.....
 
Script ilivo ilikua lazima Sity atoweke kwenye maisha ya jamaa kwa namna moja au nyingine. what if Sity angekua hai. Happy ingekuwaje na tayari alikua kesha muahidi kumuoa na pia alishamzalia.
Kwahiyo unataka kusema ahadi yake kwa Happy ndio sababu ya kifo cha Sity ?
 
Kwa hivyo mkuu unataka kusema jamaa amempoteza sity kwa kusema amekufa ili story yake ikae usawa na asipokee lawama hapa jukwaani?
Is that make sense kwanini asiseme alikuta kaolewa?..
Nadhan amemaanisha kuwa ahadi aliyoitoa kwa mpnz wake Happy ndio sababu ya kifo cha Sity,imagine Sity angekuwepo Happy asingeolewa
 
Duuuuuuhh umenikumbusha Kijiji Cha Chabutwa niliwahi pita mwaka 2014 namkumbuka Mzee Kapongwa mwalim Mstaafu.
 
Duuuuuh umenikumbushaaa mbali Kijiji Cha Chabutwa niliwahi pita huko 2014 namkumbuka Mzee Kapongwa mwalim Mstaafu sijui yupo alikuwa na uwalaza kidogo.
 
Duuuuuh umenikumbushaaa mbali Kijiji Cha Chabutwa niliwahi pita huko 2014 namkumbuka Mzee Kapongwa mwalim Mstaafu sijui yupo alikuwa na uwalaza kidogo.
Nadhani atakwepo maana si miaka mingi sana imepita
 
😂😂 acha kupotosha maboya, hii story ni yako.

Graduates wanapitia mengi sana aisee, halafu kuna ticha yuko hapa jf anawaambia ni wazembe, hawajui kutumia fursa, inabidi wajiajiri, hawajui kuomba kazi, hawana cv nzuri, hawajui kujibu maswali ya interview.

Kuna watu wanahustle sana kitaa, ni vile tu bahati haiko upande wao.
 
Ameen
 
Stori si yangu mkuu, Ngoja kuna nyingine ntaileta hapa nayo utasema tena ni yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…