Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Nimeisoma yote leo hii nikiwa nilie kua nimekata tamaa na haya maisha....
Simulizi imenifariji mno.
 
INASIKITISHA,INAKERA,INATIA HURUMA!

ZAIDI NIMEGUNDUA WASOMI WENGI NDO WANAONGOZA KWA KUPIGA PICHU,KISA WANATAKA WASIPOTEZE UMAKINI MASOMONI KWA KUFATAFATA MADEM!
 
Mabomu ha
Mabomu hayo ya Gongo la mboto! jeshini! Yaani moto ulikuwa unawaka mpaka kulee Temeke Hospital, mpaka unaiona sindano iliyoko ardhini daa nikajua kumekucha!! nakumbuka nilikuwa Zamu ya usiku siku hiyo!!

Dakika sifuri watu weeengi wamezama Hospital wengine wakapitiliza kwenda mbele hukoooo! yaani kitimu tim sie tulikuwa Tmak tena sasa nyie pale Pugu, kamapala univers. daa ndo kabisaaa! yalikuwa jikoni!!

Yaani ule Muziki acha tu! mie sijui nilipata wapi ujasiri wa kutulia vile km hakuna kitu yaani! huwa najishangaaa nadhani labda ya kupitia jeshi sana!
 
Inspired story
 
Duh hatare
 
Eti nimejikuta na mimi naisoma tena hii story, kumbe ilikuwa tamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…