Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

True love is really na ina exist kabisa. Big up kwa Sity. Huyo Sity amefanya nimkumbuke kipenzi wangu wa kipindi hicho, walahi yule mwanamke alinipenda sana. Yaani ule upendo alikuwa akinipa nilihisi kabisa hapa nimetekwa, sikuwahi kupendwa namna ile hapo kabla. Yaani yule mwanamke nashidwa ata nieleze vip, kwenye mbususu sasa napewa naichakata vilivyo tena napewa yote nishindwe mm tu. Tena muda na wakati wowote nitakao taka mm, hana hiyana kabisa. Yule mwanamke pale kwenye mbususu ndio alinipatia kabisa yaani, aaaah walahi yule mwanamke basi tu.
Bado upo nae?
 
SEHEMU YA PILI

Ilipoishia,
Basi nikazama ndani kwenye lile gari, lakini wakati napanda kuna mama alikuwa mbele yangu nikamvuta nikazama ndani, kumbe ni mke wa dereva wa lile gari,,,,,,,,,,

Endelea,

Basi yule Mama akapiga kelele, mme wangu wanatuvuta tusiingie, yule dereva akasema, sasa we ulitaka wapande nini, hebu panda huko twenende, basi kimoyo nikajisemea yes dereva si ndo huyu, basi chuma ikawaka, tukaendaaa weee, hapo sasa ndo nikaanza kuskia maumivu ya mguu na vidole, nilikuwa sijayaskia, kujishishika naona majimaji nikajua hii damu, banaee tutajua kesho maadam nimepata usafiri haina noma, nikiwa kwenye lindi la mawazo ya kilichotokea, nawaza bwenini nimetoka hata tranka langu la maji sjafunga, maana pale shule kitu cha thamani kuliko vyote ni maji, basi bana nikiwa kwenye mawazo mazito mara naskia mtu ananigusa, oya umepona, kucheki ni mshkaji wangu Abdul Kisoda tunaishi nae mapinduzi 3, daah sikuamini nkamwita Kisoda ni wewe, daah we umefikaje huku akaniambia yeye alipata lori la mchanga likamleta mpaka Kisarawe, sa nikamuuliza kwani ni nini kimetokea akasema yeye pia hajui, basi tukaendelea ila angalau sasa nna amani kidogo baada ya kumwona Abdul Kisoda.

Basi tukafika sehemu tukakuta migambo wakasimamisha gari, wakamfata dereva wakamwambia huku mnakoenda ni mbali sana, hapa yenyewe mlipo ni mbali sana, ni bora muishie hapa, basii dereva akapaki pembeni tukashuka tukakuta watu wengine wengi pale, tukajisogeza pembeni kulikuwa na gari dogo imefungua milango yote alafu imewasha redio kwa sauti kubwa, basi pale ndo tukasikia habari kwamba mabomu yaliyokuwa yamehifadhiwa kambi ya jeshi Gongo la mboto yamelipuka, watu wamekimbia kila mahali, juhudi zinafanyika kuyazima,

Daah basi tukakaa pale angalau sasa tunajua nini kimetokea, cha kushangaza tukajikuta wana bweni kama wanne hivi tumekutana pamoja, Na mshikaji wangu Hassan yeye ana mtoto mdogo kama miaka mitatu hivi wakike, tukamuuliza vipi tena na mtoto akasema kuna dada walikuwa wanakimbia nae sasa mtoto akamlemea ndo akamsaidia, Ila kamwachia namba za simu atamplelekea, daah nikaona mshikaji ana roho nzuri kweli, mi nimemkacha mlemavu kule shule, nafsi ilinisuta sana ila nikajipa moyo imeandikwa kila mtu na aiponye nafsi yake

Basi tukajikusanya wanafunzi wa Pugu tukachanganyika na wa Minaki tukawasha moto mkubwa, tukachuma majani tukalala, Basi kukapambazuka tukaanza safari ya kurudi shuleni, Sasa kumekuwa kweupe nikijiangalia sina tofauti chizi, suruali imepasuka, sina ndala, madamu yamegandiana kwenye miguu na vidole nikasema daah akili sina mimi nna tofauti gani na kichaa.

Basi ile barabara ina hawa jamaa wanabeba magunia ya mkaa kwenye baskeli, nikamwona mmoja anapatashida kukokota kupandisha kilima nikaenda kumsaidia nikawa namsukuma hapo nyuma, kidogo ikanipunguzia aibu kwani nikawa kama na mimi ni mbeba mkaa sababu tunafanana ikapunguza hata watu kunishangaa, basi nikamsukuma yule jamaa paka tukatokea Kisarawe, daah ni umbali mrefu sana, basi pale Kisarawe tukakuta daladala za kwenda goms zipo, Hassan alikuwa na hela kidogo basi akatulipia wote tukapanda (kumbuka nauli ni mia kwa wanafunzi)

Basi tukaondoka huko njiani tunakutana na mabomu ambayo hayakulipuka, ebwana ni makubwa, bomu kubwa hata mtu hubebi, pia tukapiita baadhi ya nyumba zina misiba, watu wao wamekufa na mabomu, Basi bana tukafika shule tukaanza kupeana story jinsi kila mmoja alivyookoka, Maji yangu kwenye tranka kama kawaiida nikakuta hola nikasema poa nikashuka pondi nikaoga freshi nikabadili nguo, Hasan akampigia yule dada mwenye mtoto akamwambia anakaa goms basi akaenda huko

Basi bana mitihani ikaisha shule ikaisha nikarudi zangu home kupigisha madogo mapindi, tena ukizingatia nimemaliza form six basi bonge la heshima pale kijijini.

Siku zikaenda matokeo yakatoka sikufanya vibaya, nikachaguliwa kujiunga na degree yangu ya kwanza pale UDSM kitivo cha engineering, pale kijijini ilikuwa balaa walivyosikia naenda kusomea uinjinia, basi yaani hata ningesema nleteeni mabikira wote nichague wa kumuoa basi wazazi wangeleta mabinti zao ili wajaribu bahati zao, yaani nlikuwa kama mfalme pale kijijini

Basi muda ukafika, nikatimba Udsm Coet pale, Nlikuwa nmepewa hela kidogo home nikafanya registration pale, uzuri nilishukia kwa jamaangu ambaye tulikutana pugu yeye alikuwa udsm , walikuja pugu kwenye semina ya kidini, basi akawa jamaangu ananipa ushauri mbalimbali , hata kabla sjamaliza Pugu nilikuwa naenda Udsm kumsalimia alikuwa anakaa hall 5, basi akawa ananipitisha maeneo ya chuo ili kunitia tamaa, na kweli nlikuwa nikirudi shule huo msuli ntakaopiga si wa dunia hii.

Basi bana kwaiyo kabla sjapangiwa room pale chuo nikawa nakaa kwa jamaangu huyu Ambaye anaitwa Frank, kipindi hicho yeye na jamaa zake kadhaa walikuwa wamepanga mtaani maana walikuwa mwaka wa tatu, Basi nikawa naona jamaa wanapiga msulii balaa nikauliza mbona mnapiga msuli halafu hamuendi chuo, wakasema wanajiandaa na Sap, saa hiyo sijui hata sap ni nn, Basi naskia tu huyu ana Sap sita, mwingine nne, Jamaangu yeye alikuwa na sap tano, sasa nikajiuliza huyu jamaa mbona alikuwa vizuri hizi sap (maana waliniambia sap maana yake umefeli mtihani unatakiwa urudie) zote amepataje, maana hapo mwanzo aliwahi kunionesha vyeti vyake jamaa alipasua balaa, form four ana one ya saba, form six ana one ya nne tena PCM, sasa saivi nikiangalia hata past paper zake za chuo nakata tamaa kabisa, unakuta ana tatu ya kumi, 20 ya 60 nikasema khaaa shule ndo hivi

Basi bana chuo wakatupangia rooms, mimi nikapangiwa hall two, floor ya 11 side room, tunakaa nane room moja, basi sasa kimbembe kikaanza tukaitwa tukapewe boom, maana hatuna account hivyo tunapewa mkononi kule kwenye ofisi za auxiliary police, basi tukapanga foleen nikafika dirishani Kwa madam mmoja jina lake Rhoda, akanihesabia kibunda nikasepa, sasa hizi hela zote naweka wapi na ndo mara ya kwanza kushika hela nyingi hivyo kwa mkupuo (kama laki sita hivi)

Basi kwa vile jamaa ngu frank yeye Ana account na ndo mtu nnae mwamini na ni mtumishi mzuri basi nikamkabizi kibunda aniwekee kwenye account yake paka ntakapopata account, Kweli umdhaniaye siye kumbe ndiye na ndo hapo kichapo kilipoanzia, na ndo msingi wa stori yangu unapoanzia.


Itaendelea
🤣🤣🤣sina Akili. Kweli akili huna
 
Hakuna kitu kibaya kama kumaliza chuo tena umesomea kozi ngumu kama hiyo afu unakosa ajira,nimejipanga kuhakikisha wanangu wasipitie hii hali kama nitakuwepo.

Niliwahi kuhahirisha kozi ya mechanical engineering baada ya kusikiliza story za lecture wetu alituambia kama huwezi kupata GPA ya 4 sahau kupata kazi sehemu nzuri sana sana utaishia kufanya kazi kwenye viwanda vya wahindi na mshahara hautazidi laki 4,pia niliangalia mtaani kuna mafundi kibao tu tena wazuri hata vyeti hawana kwanini mimi nihangaike kusoma madude magumu hivi afu huko mtaani hapaeleweki.
Niliacha chuo,baada ya mwaka mmoja nikaomba kusoma kozi nyingine
 
Hakuna kitu kibaya kama kumaliza chuo tena umesomea kozi ngumu kama hiyo afu unakosa ajira,nimejipanga kuhakikisha wanangu wasipitie hii hali kama nitakuwepo.

Niliwahi kuhahirisha kozi ya mechanical engineering baada ya kusikiliza story za lecture wetu alituambia kama huwezi kupata GPA ya 4 sahau kupata kazi sehemu nzuri sana sana utaishia kufanya kazi kwenye viwanda vya wahindi na mshahara hautazidi laki 4,pia niliangalia mtaani kuna mafundi kibao tu tena wazuri hata vyeti hawana kwanini mimi nihangaike kusoma madude magumu hivi afu huko mtaani hapaeleweki.
Niliacha chuo,baada ya mwaka mmoja nikaomba kusoma kozi nyingine
Huyo lekcha wako duuuh! Ilikuwa mwaka gani hiyo?!
 
Qmmke koo umefufuka ? Ebu lete story ya kuzimu sasa baada ya kufa ikawaje uko ulipo saivi
ukitaka msome dante aligieri, oanisha na the inferno cha langdon akielezea jins yule bilionea alivokuwa inspire na safar ya Dante to the inferno.na namna dante alivo describe gates of Hell

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom