Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

aah mwamba shusha nondo...ila me sitosahau siku kumi na mbili ndani ya mgodi..nilikula hadi nguo..pia wale jamaa walokaa siku 42 ndani ya duara huku wakila mende,nywele zao kucha na maji wanayo kojolea na haja kubwa huku pembeni kuna mwenzao marehemu daah..R.I.P uncle
Mkuu ukipata time na wewe shuka nondo hapa,tupate kujifunza na sisi.
 
SEHEMU YA KUMI NA SITA

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Nilikuja kupata fahamu nikajikuta nipo wodini, Nimelala kitandani nimetundikiwa drip, nimepigwa bandeji karibu kila mahali, Sa najiuliza nimefikaje fikaje pale ,Kumbu kumbu haziji kabisa, Naona tu manesi wanapita pita, watu wana pitapita,

Basi nesi mmoja akaja kwenye kitanda changu, akaangalia angalia ile drip, anataka kuondoka nikamuuliza, Nesi hapa ni wapi? Akasema pale ni Majengo hospital, Nimefikaje hapa? Akasema uliletwa hapa na polisi ukiwa na hali mbaya sana, basi akaondoka,

Sasa pale ndo kumbukumbu zikaanza kunijia, nikaanza kukumbuka matukio, Nikakumbuka wale vibaka, nikakumbuka nilivyokuwa napigwa, Daah machozi yakawa yananitoka, Nikakumbuka begi langu walichukua wale vibaka, mbaya zaidi lilikuwa na vyeti vyangu vyote kuanzia vya shule paka cheti cha kuzaliwa,

Ahhhah niliumia sana, nikasema sasa yote haya ni nini, kwanini yanitokee mimi, Basi nikamkumbuka Sity nikasema lait angekwepo angenisaidia, Nikakumbuka maneno ya Da J siku ile namwambia kwamba nataka kuondoka niende Arusha, alisema "Usiende huko Utakufa" Nikahisi Da J alifunuliwa yatakayokwenda kunikuta huko,

Basi nikakaa pale hospitali, kumbe polisi bado wananilinda, Wanakuja pale kitandani wananiangalia wanaondoka, Basi nikawa nasikia watu pale wodini wananong'onezana huku wananinyooshea kidole, Wanasema yule pale ni mwizi, Aliletwa hapa hafai ila saivi kapata nafuu, Moyoni nikawa naumia sana maana mi najua mi si mwizi, sema ndo hivyo nani ataniamini,

Basi badae nilikuja kufahamu kilichotokea siku ile, Kumbe wakati wanataka kunipiga kibiriti pale chini kumbe polisi wakatokea, Watu walivyoona polisi wakakimbia wakaniacha ndo ikawa ponea yangu, Kumbe kituo cha polisi cha majengo hakipo mbali na pale uwanjani kwaiyo polisi walipopata taarifa wakaja fasta, Basi nikatiwa kwenye gari yao wakanileta pale hospitali, kumbe hospitali yenyewe ilipo na pale uwanjani imetenganishwa na barabara tu,

Basi nilikaa sana pale hospitali, paka majeraha yakaanza kupona, polisi wapo tu na mimi hawaniachi, basi siku ya siku nikapewa ruhusa, basi polisi wakanichukua paka pale kituoni, Nikaandika maelezo pale badae wakanitia ndani kwenye kiselo chao pale kituoni , mzee baba maisha ya huko selo sitaki hata kuyasimulia,

Basi siku ya pili nikapandishwa mahakamani pale moshi mjini mahakama ya mwanzo, nikasomewa shitaka langu la kutaka kuiba kwa kutumia nguvu, Akaja askari mmoja wa kituo cha majengo kutoa ushahidi, akaelezea jinsi walivyopata taarifa, na jinsi walipofika pale wakanikuta napigwa, pia akasema dada ambaye nilitaka kumuibia pia walimpata na yeye akatoa maelezo yake,

Badae akaitwa dada aliyetaka kuibiwa na yeye atoe ushahidi, basi akapanda yule dada, akasema yeye alikuwa anakatiza pale uwanjani huku anaongea na simu, mara ghafla mimi nikatokea nikaanza kumkimbiza nataka kumnyang'anya simu, alipoona vile ndo ikabidi ajitetee kwa kukimbia na kupiga ukunga,

Basi na mimi nikaambiwa nijitetee na kama nina mashahidi pia nilete, Mi nikasema sina mashahidi nitajitetea mwenyewe, Basi nikaileza mahakama kila kitu, kuanzia nilipoenda pale shule, nilivyokimbizwa na wale vibaka, nilivyopigwa mpaka nilipojikuta hospitali,

Basi hakimu akasema kesi imeahirishwa mpaka kesho kwa ajili ya hukumu, kwa sasa nitaenda mahabusu ila milango ya dhamana ipo wazi, Nani sasa wa kuniwekea dhamana, ikabidi nipelekwe mahabusu gereza la Karanga lilopo pale moshi,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena,

Itaendelea
 
Haya maisha watu tumepitia. Inaonekana story lakini ina uhalisia sana. Ni hali inayosikitisha sana. Ndugu na marafiki wanafiki wanakutenga kipindi hiki. Hata wazazi wengine pia wanakutenga...
Hakuna kitu kibaya kama kumaliza chuo tena umesomea kozi ngumu kama hiyo afu unakosa ajira,nimejipanga kuhakikisha wanangu wasipitie hii hali kama nitakuwepo.
 
Nimesoma title na sehem yakwanza nimegundua kichwa cha habari hakiendani na maelezo ....... labda ni some kama stori tu lakini hakuna uhalisia kabisa
 
SEHEMU YA KUMI NA SITA

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Nilikuja kupata fahamu nikajikuta nipo wodini, Nimelala kitandani nimetundikiwa drip, nimepigwa bandeji karibu kila mahali, Sa najiuliza nimefikaje fikaje pale ,Kumbu kumbu haziji kabisa, Naona tu manesi wanapita pita, watu wana pitapita,

Basi nesi mmoja akaja kwenye kitanda changu, akaangalia angalia ile drip, anataka kuondoka nikamuuliza, Nesi hapa ni wapi? Akasema pale ni Majengo hospital, Nimefikaje hapa? Akasema uliletwa hapa na polisi ukiwa na hali mbaya sana, basi akaondoka,

Sasa pale ndo kumbukumbu zikaanza kunijia, nikaanza kukumbuka matukio, Nikakumbuka wale vibaka, nikakumbuka nilivyokuwa napigwa, Daah machozi yakawa yananitoka, Nikakumbuka begi langu walichukua wale vibaka, mbaya zaidi lilikuwa na vyeti vyangu vyote kuanzia vya shule paka cheti cha kuzaliwa,

Ahhhah niliumia sana, nikasema sasa yote haya ni nini, kwanini yanitokee mimi, Basi nikamkumbuka Sity nikasema lait angekwepo angenisaidia, Nikakumbuka maneno ya Da J siku ile namwambia kwamba nataka kuondoka niende Arusha, alisema "Usiende huko Utakufa" Nikahisi Da J alifunuliwa yatakayokwenda kunikuta huko,

Basi nikakaa pale hospitali, kumbe polisi bado wananilinda, Wanakuja pale kitandani wananiangalia wanaondoka, Basi nikawa nasikia watu pale wodini wananong'onezana huku wananinyooshea kidole, Wanasema yule pale ni mwizi, Aliletwa hapa hafai ila saivi kapata nafuu, Moyoni nikawa naumia sana maana mi najua mi si mwizi, sema ndo hivyo nani ataniamini,

Basi badae nilikuja kufahamu kilichotokea siku ile, Kumbe wakati wanataka kunipiga kibiriti pale chini kumbe polisi wakatokea, Watu walivyoona polisi wakakimbia wakaniacha ndo ikawa ponea yangu, Kumbe kituo cha polisi cha majengo hakipo mbali na pale uwanjani kwaiyo polisi walipopata taarifa wakaja fasta, Basi nikatiwa kwenye gari yao wakanileta pale hospitali, kumbe hospitali yenyewe ilipo na pale uwanjani imetenganishwa na barabara tu,

Basi nilikaa sana pale hospitali, paka majeraha yakaanza kupona, polisi wapo tu na mimi hawaniachi, basi siku ya siku nikapewa ruhusa, basi polisi wakanichukua paka pale kituoni, Nikaandika maelezo pale badae wakanitia ndani kwenye kiselo chao pale kituoni , mzee baba maisha ya huko selo sitaki hata kuyasimulia,

Basi siku ya pili nikapandishwa mahakamani pale moshi mjini mahakama ya mwanzo, nikasomewa shitaka langu la kutaka kuiba kwa kutumia nguvu, Akaja askari mmoja wa kituo cha majengo kutoa ushahidi, akaelezea jinsi walivyopata taarifa, na jinsi walipofika pale wakanikuta napigwa, pia akasema dada ambaye nilitaka kumuibia pia walimpata na yeye akatoa maelezo yake,

Badae akaitwa dada aliyetaka kuibiwa na yeye atoe ushahidi, basi akapanda yule dada, akasema yeye alikuwa anakatiza pale uwanjani huku anaongea na simu, mara ghafla mimi nikatokea nikaanza kumkimbiza nataka kumnyang'anya simu, alipoona vile ndo ikabidi ajitetee kwa kukimbia na kupiga ukunga,

Basi na mimi nikaambiwa nijitetee na kama nina mashahidi pia nilete, Mi nikasema sina mashahidi nitajitetea mwenyewe, Basi nikaileza mahakama kila kitu, kuanzia nilipoenda pale shule, nilivyokimbizwa na wale vibaka, nilivyopigwa mpaka nilipojikuta hospitali,

Basi hakimu akasema kesi imeahirishwa mpaka kesho kwa ajili ya hukumu, kwa sasa nitaenda mahabusu ila milango ya dhamana ipo wazi, Nani sasa wa kuniwekea dhamana, ikabidi nipelekwe mahabusu gereza la Karanga lilopo pale moshi,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena,

Itaendelea
Pole Sana kaka
 
Nilizaliwa mwishoni mwa miaka ya themanini katika kijiji cha chabutwa wilaya ya Sikonge mkoa wa Tabora, nilifanikiwa kupata elimu yangu ya msingi hapo kijijini, shuleni nilikuwa vizuri sana, si walimu tu bali hata wanafunzi walinipenda. Familia yetu ilikuwa ya maisha ya kawaida sana kwani baba na mama wote ni wakulima wadogo wadogo tu, kwetu tulizaliwa wawili tu mimi na mdogo wangu wa kiume.

Basi baada ya kumaliza shule ya msingi nilichaguliwa kujiunga na shule ya skondari Chabutwa iliyopo pale katani. Kwa vile nilikuwa John kisomo basi maisha ya shule hayakuwa mabaya ki ufaulu, Paka namaliza form four nilikuwa naongoza pale shuleni, Baba yangu alipenda kunihusia kuwa nisipende kujionesha kwa watu kuwa nina akili maana si wote wanapenda kuona watoto wao hawafanyi vizuri alafu watoto wa wengine wanafanya vizuri

Basi nilijitahidi sana kufata ushauri wa mzee ingawa kama unavyojua haya mambo hayafichiki, Kata nzima ilikuwa inanifahamu, kwenye vikao vya shule ndo usiseme maana niligeuzwa sample space (Sehemu ya wengine kujifunzia).

Basi nikamaliza four pale na Mungu si Athumani nikafaulu vizuri na kuchaguliwa kujiunga na shule ya Pugu Secondary kwa ajili ya five na six. Mzee wangu alifurahi sana si kwa sababu ya kufaulu tu bali nilichaguliwa shule ya mbali na pale nyumbani maana mzee alikuwa hana amani kabisa na majirani wa pale katani

Basi bana, siku ya siku nikatimba shule ya baba wa taifa, Askwambie mtu nilikutana na life la kibabe sjawahi kuona
Picha linaanza shule haina maji, Maji utajua pa kuyapata, kama utaenda mtaani kununua utajua mwenyewe, Ukitaka uzame pondi ( Huko bondeni kuna visima wanatumia wanakijiji ila maji yake yana magadi na fangasi wa kutosha)

Kufupisha story sitaelezea sana life la Pugu, ila kiukweli lilikuwa la kiume, Miongoni mwa vitu sitavisahau ni bweni letu la Mapinduzi 3 ambalo ndo lilikuwa linaaminika bweni la watu wakorofi shule nzima, pia nikiwa bado mgeni nilikaribishwa kwa kupigwa nguo zangu zote nikabaki na nliizokuwa nimevaa tu, yaani siku hiyo nimetoka pondi nimefua nguo zangu nikaanika kwenye ukoka, nikaondoka kwenda kutembea majohe, kurudi jioni nakuta ukoka unanikodolea tu hakuna nguo yaani Hadi boxer walichukua wahuni wale.

Kingine sitasahau ni tukiwa karibu kumaliza six, tumebakiza paper ya practical ya chemistry, siku hiyo ilikuwa jioni ki giza ndo kinaingia, nimetoka kupiga zangu nguna maharage, najisogeza taratibu naelekea kwenye kipindi cha dini, Mara ghafla naona watu wanakuja wengi wanakimbilia eneo la shule, Wa baba, wa mama wengine wana watoto, nikajiuliza kimoyomoyo haya maandamano ya nini tena, nikiwa bado nashangaa ghafla nikaona kitu hicho ndo kilifanya nione hii issue ni serious, nikamwona teacher wetu wa darasa nae anakuja mbio, tena mbaya zaidi ana kitambi sasa akikimbia balaa, na alikuwa na spidi maana ilikuwa kawaida yake kila asubuhi anatukimbiza ambao hatuendi assemble.

Duuh, nlipoona hivyo na mimi nikaliunga tukaanza kukimbia, kuna sehemu wanafunzi wanapenda kuangalia tv nikakuta nao wamesepa wameacha tv pale, Daaah sasa wote tunakimbia halafu hatujui tunakimbia nini, Sasa wakati naendelea kukimbia nikakutana na mlemavu mmoja yupo kwenye kiti chake cha matairi ( Maana ile shule ina wanafunzi walemavu pia),. Sasa hana mtu wa kumsukuma na kile kiti chake, kila mtu anaokoa nafsi yake, basi huruma ikaniiingia nikaanza kunsukuma huku tunakimbia, ebwanaeeh tumekimbia mwisho nikaona hapa nafeli, maana watu wanazidi kukimbia kuelekea bondeni huko alafu kelele zimekuwa nyingi, nikaona usintanie nikamwacha yule mlemavu nikaanza kukimbia mwenyewe.

Nikakimbia hatimae nikafika pondi, pale kidogo nikakuta watu wamerundikana kidogo,wanaulizana ni nini ila hakuna anaejua, ila juu angani anga limegeuka rangi, limekuwa jekunduuu kama vile jua lataka kushuka, alafu kelele kama vile watu wanapiga mabati huko angani au kama vile msitu unaungua sasa zile kelele za miti, daah hapo nikajua ndo mwisho wa dunia huu, wakati nageuka huku na kule mara namwona yule mlemavu ila saivi hayupo kwenye kiti bali anatambaa chini, nikajiuliza huyu kakimbia au kabebwa? Nikabaki nimestaajabu ila nikajichanganya asije kuniona akasema huyu broo ana roho mbaya, maana jinsi anga lilivyo jekundu yaani Hadi watu mna onana kabisa

Basi bana kelele zikazidi, watu woga ukaongezeka basi mbio zikaanza , tukapanda juu tukatokea Barbara kubwa ya pugu kajiungeni, Barabara imejaa watu wanakimbia, magari ndo usiseme, basi tukawa tunakimbia kelele zikizidi ukitazama juu unaona kama kimondo cha moto kinakuja hivyo unalala chini, kikipita unaamka tena unaaza mbio, Basi tukafika njia panda ya kisarawe na chanika, tukala kulia kuelekea kisarawe, mbio mbio unafika mahali unakutana na mdada anakimbia kanga inaanguka anabaki na chupi lakini hana muda wa kuokota kanga,ni kukimbia tu, mi pia sikuwa hata na hamu ya kutazama hayo mambo, maana unakimbia ukilala chini unasali ili likimondo lipite, basi ni kukimbia na kusali tu

Basi mara tukafika shule ya secondary Minaki , kulikuwa na wanafunzi pale nao wakaungana na sisi kukimbia, tukakimbia mara tukatoboa kisarawe,hapo ni usiku hata siijui saa ngapi, Basi pale kisarawe tukakuta watu wengi kinyama, yaanii pale ndo ikawa kama makutanio, watu wanaulizana ni nini,lakani hakuna anaejua dhahiri ni kitu gani kimetokea, Basi wakati tunashangaa pale mara ule mwanga na yale makelele yakawa takekaribia tena, watu wakaanza kuondoka kuendelea mbele,

Daah kwa jinsi nlivyokimbia na miguu ilivyokuwa inauma nikasema mi skimbii tena, kama kufa nife tu, basi nikaona cruzer moja imejaza watu nyuma inaondoka, nikaikimbilia nikaidaka, nikadandia yenyewe ikachanganya, sasa wakati natafuta sehemu ya kuweka mguu nikakosa, mikono ikachoka kubembea nikarudisha miguu kwenye lami, acha niburuzwe, nikaskia watu wanasema umeuaaaa, gari ikasepa nikaamka kujiangalia, nilikuwa nimevaa jinsi lakini ililiwa na lami paka ikakutwa Ngozi, nilichubuka vibaya, damu zinatoka balaa vidole vinatoa damu, ndala Sina maana zulikatika toka huko nikiwa nakimbia

Basi, mara nikaona cruiser moja imechorwa msalaba mwekundu, watu wanaikimbilia, na mimi nikazama, sasa wakati nazama kuna mama mmoja alikuwa mbele yangu, nikamvuta nyuma mi nikazama ndani, kumbe ni mke wa yule dereva anae endesha lile gari


Itaendelea

SEHEMU YA PILI

SEHEMU YA TATU

SEHEMU YA NNE

SEHEMU YA TANO

SEHEMU YA SITA

SEHEMU YA SABA
Nzuri
 
SEHEMU YA KUMI

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Tukiwa tumekaa nje kwenye benchi tunapiga stori mara tukaitwa kule ndani, Basi nesi akatuambia majibu yenu tayari, ila kwa kuwa ninyi ni wapenzi na mna aminiana basi kila mmoja atasoma majibu ya mwenzake, tukasema sawa, basi mi nikapewa ya Sity na Sity akapewa yangu, Basi sity alipofungua majibu asome mara ghafla akashtuka kwa nguvu,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Moyo ukapasuka paaa!! Nikamuuliza Sity Vipi? Akatabasamu, Akasema, Nakutania bana, majibu yako mazuri, Yaani sema nilijizuia tu ila nilitaka nimkate bonge la bao, nikajisemea kimoyomoyo huyu analetaje utani kwenye mambo ya msingi, kwa kweli niliogopa sana tena ukizingatia zile mishe zangu za buguruni,

Basi nikacheki na majibu yake yapo poa, Yule nesi akatuhusia sana, kwamba tuwe waaminifu kila mmoja kwa mwenzake kama tunataka tuishi vizur, pia akasema yale majibu si ya mwisho, inabidi tukae miezi mitatu halafu turudi tena tupime hapo ndo tutakuwa na uhakika wa afya zetu,

Moyoni nikajisemea huyu nesi vipi, hajui kuwa hii mashine sjaiburuza bado, kwaiyo niisubirie tena miez mitatu, aaaah itakuwa ngumu aisee, Basi tukaitika pale sawa sawa, akatupa vipeperushi vyake tukaondoka, Tukasema tuelekee geto msewe poa,

Basi hakuna siku niliona msewe ni mbali kama siku ile, yaani tunatembea naona hatufiki, yaani natamani tufike nimrukie lakini daah ndo hivyo hatufiki aisee, Njiani huko masela wanamkodolea macho manzi balaa, maana huko nyuma kafungasha si kitoto, Wanaona nafaidi, kumbe mimi kama wao tu, wote tunakula kwa macho,

Kweli bana tukafika msewe, uzuri tukakuta kidosho hayupo, tulipofika tu ndani nikamtupia kitandani, nikaanza kula mambo yetu yale, mtoto akaonesha ushirikiano, tukagaragarazana kitandani, mara nikafanikiwa kumchojooa nguo zote akabaki na chupi, nayo nikaitoa, nikaanza kupima oil, mzee ni balaa najua wote mnajua yaliyoendelea, ila mtoto si kwamba kapewa tu mzigo ila anajua kuutumia, maana mzigo unazungukia pale kwenye kiuno ni hatari aisee

Basi nikafanikiwa kula tunda pale, tena nikajipimia tani yangu, tukamaliza mtoto akapika pale tukala, akaenda kuoga akavaa nikamsindikiza, hapo ndo ikawa mwanzo wa mapenzi mimi na Sity, mtoto alinikubali sana, kuna story nlikuwa naskiaga kwamba mabonge yanapenda kizembe kumbe kweli bana, Sity alinipenda balaa,

Basi shule ikaendelea, semista ikaisha, ikaanza nyingine nayo ikakata, Tukawa tumehitimisha safari ndefu ya miaka minne pale chuoni, Shule ndo imeisha hivyo,

Basi tukabaki mimi na kidosho pale geto, mziki ukaanza sasa kutafuta kazi, kwa vile matokeo ya mwisho bado, kwaiyo tukaenda chuo tukapewa transcript ya miaka mitatu ndo tukaanza nayo kutafuta kazi, Banaeeh hapo ndo nikaanza kujua kumbe kutafuta kazi ni kazi kuliko kazi yenyewe,

Tafuta kazi weee , ingia kwenye mitandao tafuta kazi wapi, paka matokeo yakatooka watu wakafanya graduation pale mlimani city , sisi hatukwenda maana hata hela ya joho hatukuwa nayo, Maisha yakaanza kuwa magumu maana tulizoea bumu, sasa hakuna cha bumu wala nini,

Basi tukaenda chuo kuchukua vyeti vyetu tukiamini vitasaidia kutafuta kazi ila wapi, Kipindi hicho ndo serikali ilikuwa imesitisha hajira, sijui mambo ya vyeti feki mi sijui mambo ya wana siasa,

Basi mwaka ukapinduka vidume mambo bado yamekaza, ilipofika mwez wa sita kidosho maji yakamfika shingoni, akasema yeye anarudi zake mkoani akacheki ishu nyingine, nikasema poa, mi sirudishi majeshi nyumbani, Ukizingatia kijijini dogo kashanipiga gap kubwa, yeye ana mji wake na familia mimi sina chochote zaidi ya laptop, na ntaenda kijijini kufanya nini, kama ni kulima si bora ningeanza kulima toka nilipo maliza shule ya msingi, nimekuja huku kufanyaje sasa, si ntakuwa nimepoteza muda bure, alafu hata elimu yangu itakuwa haina maana sasa kama ntarudi kuanza kutegemea wazazi, ntakomaa paka kieleweke,

Basi mzee nikabaki mwenyewe geto, Fikiri natakiwa nilipe kodi elf 50 kwa mwezi, bado umeme na maji, sjui kulipia taka taka, na kazi sina, Hapo ndo utajua kwanini mafua yanazibaga pua moja tu,

Basi mzee sikukata tamaa, bado napambana kutafuta kazi ila kila siku ni bora ya jana, Yaani aliekuwa ananiweka mjini ni Sity sasa, maana yeye ndo alikuwa anantumia elfu tano, nakula, mara analipa umeme paka kodi akawa analipa,

Akawa ananipa moyo sana kwamba nisijali ntapata kazi tu na mambo yatakaa poa, mwingine aliyekuwa ananisaidia ni dada mmoja wa chumba cha jirani, Alikuwa anaitwa Jamila, tukazoea kumuita Da J, Yeye akitoka mishe zake huko basi anapika msosi pale ananipa, siku nyingine nakwama umeme anantolea hivyo yaani,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Itaendelea
Kwanini hukwenda kuwapiga pindi madogo kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma?
 
SEHEMU YA KUMI NA SITA

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Nilikuja kupata fahamu nikajikuta nipo wodini, Nimelala kitandani nimetundikiwa drip, nimepigwa bandeji karibu kila mahali, Sa najiuliza nimefikaje fikaje pale ,Kumbu kumbu haziji kabisa, Naona tu manesi wanapita pita, watu wana pitapita,

Basi nesi mmoja akaja kwenye kitanda changu, akaangalia angalia ile drip, anataka kuondoka nikamuuliza, Nesi hapa ni wapi? Akasema pale ni Majengo hospital, Nimefikaje hapa? Akasema uliletwa hapa na polisi ukiwa na hali mbaya sana, basi akaondoka,

Sasa pale ndo kumbukumbu zikaanza kunijia, nikaanza kukumbuka matukio, Nikakumbuka wale vibaka, nikakumbuka nilivyokuwa napigwa, Daah machozi yakawa yananitoka, Nikakumbuka begi langu walichukua wale vibaka, mbaya zaidi lilikuwa na vyeti vyangu vyote kuanzia vya shule paka cheti cha kuzaliwa,

Ahhhah niliumia sana, nikasema sasa yote haya ni nini, kwanini yanitokee mimi, Basi nikamkumbuka Sity nikasema lait angekwepo angenisaidia, Nikakumbuka maneno ya Da J siku ile namwambia kwamba nataka kuondoka niende Arusha, alisema "Usiende huko Utakufa" Nikahisi Da J alifunuliwa yatakayokwenda kunikuta huko,

Basi nikakaa pale hospitali, kumbe polisi bado wananilinda, Wanakuja pale kitandani wananiangalia wanaondoka, Basi nikawa nasikia watu pale wodini wananong'onezana huku wananinyooshea kidole, Wanasema yule pale ni mwizi, Aliletwa hapa hafai ila saivi kapata nafuu, Moyoni nikawa naumia sana maana mi najua mi si mwizi, sema ndo hivyo nani ataniamini,

Basi badae nilikuja kufahamu kilichotokea siku ile, Kumbe wakati wanataka kunipiga kibiriti pale chini kumbe polisi wakatokea, Watu walivyoona polisi wakakimbia wakaniacha ndo ikawa ponea yangu, Kumbe kituo cha polisi cha majengo hakipo mbali na pale uwanjani kwaiyo polisi walipopata taarifa wakaja fasta, Basi nikatiwa kwenye gari yao wakanileta pale hospitali, kumbe hospitali yenyewe ilipo na pale uwanjani imetenganishwa na barabara tu,

Basi nilikaa sana pale hospitali, paka majeraha yakaanza kupona, polisi wapo tu na mimi hawaniachi, basi siku ya siku nikapewa ruhusa, basi polisi wakanichukua paka pale kituoni, Nikaandika maelezo pale badae wakanitia ndani kwenye kiselo chao pale kituoni , mzee baba maisha ya huko selo sitaki hata kuyasimulia,

Basi siku ya pili nikapandishwa mahakamani pale moshi mjini mahakama ya mwanzo, nikasomewa shitaka langu la kutaka kuiba kwa kutumia nguvu, Akaja askari mmoja wa kituo cha majengo kutoa ushahidi, akaelezea jinsi walivyopata taarifa, na jinsi walipofika pale wakanikuta napigwa, pia akasema dada ambaye nilitaka kumuibia pia walimpata na yeye akatoa maelezo yake,

Badae akaitwa dada aliyetaka kuibiwa na yeye atoe ushahidi, basi akapanda yule dada, akasema yeye alikuwa anakatiza pale uwanjani huku anaongea na simu, mara ghafla mimi nikatokea nikaanza kumkimbiza nataka kumnyang'anya simu, alipoona vile ndo ikabidi ajitetee kwa kukimbia na kupiga ukunga,

Basi na mimi nikaambiwa nijitetee na kama nina mashahidi pia nilete, Mi nikasema sina mashahidi nitajitetea mwenyewe, Basi nikaileza mahakama kila kitu, kuanzia nilipoenda pale shule, nilivyokimbizwa na wale vibaka, nilivyopigwa mpaka nilipojikuta hospitali,

Basi hakimu akasema kesi imeahirishwa mpaka kesho kwa ajili ya hukumu, kwa sasa nitaenda mahabusu ila milango ya dhamana ipo wazi, Nani sasa wa kuniwekea dhamana, ikabidi nipelekwe mahabusu gereza la Karanga lilopo pale moshi,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena,

Itaendelea

Chumvi imekolea mboga, kama ni sukari imekolea chai.
 
Huwezi kuona vikiendana maana hauna akili ya kufatilia jambo kabla ya kuhukumu
Sipingi stori ya mtu mkuu wala sina tabia hiyo ....katika hali ya kawaida huwezi tuambia athari za kuondoka sehemu uliyozaliwa then ukanza kutueleza maisha ya shule ...hatakama hko mbeleni alibadili lakini ameanza vibaya .....why stori itengeneze mashaka ndani ya sehem ya kwanza tu?
 
Sipingi stori ya mtu mkuu wala sina tabia hiyo ....katika hali ya kawaida huwezi tuambia athari za kuondoka sehemu uliyozaliwa then ukanza kutueleza maisha ya shule ...hatakama hko mbeleni alibadili lakini ameanza vibaya .....why stori itengeneze mashaka ndani ya sehem ya kwanza tu?
Kaka we si umekuja kusoma story yake na huwezi mpangia mtu asimuliaje anachokiamini nadhani sometimes hakuna haja ya kukosoa kitu cha mtu ambaye hukumpa kazi ya kuandika sio kwa ubaya, Story ni yake.
 
Sipingi stori ya mtu mkuu wala sina tabia hiyo ....katika hali ya kawaida huwezi tuambia athari za kuondoka sehemu uliyozaliwa then ukanza kutueleza maisha ya shule ...hatakama hko mbeleni alibadili lakini ameanza vibaya .....why stori itengeneze mashaka ndani ya sehem ya kwanza tu?
Unataka aanze kulingana ubongo ama mind itakavyo comply or contemplate. Mbona watu hamuheshimu tofauti tulizo nazo binadamu mkuu. Mie mfano mpira sipendi yaani naonaga watu wanajazana nawatani kuwa suala la kuona mwanaume mwenzangu akimeki mane namie napoteza muda hiyo jobu Sina.
Ila Sasa akija hapa like Shakira hata Kama kiingilio 10M ninayo nitaenda kumcheki MTT wa kilatino. Ama wanamieleka akina Huko Hougan na Cena wakija hapa bongo kwa show nahudhuria Kama iyo gharama naimudu.
Hujui kuwa Ana Mana gani kuanza kuelezea ivyo. Yaani Kuna logic behind so Kama huwezi Iona subiria huko mbele mkuu.
Kila mtu huwa Ana namna ya kuwasilisha kitu. Yaani umeshawahi kuwa na marafiki wa madhehebu yote ama dini ambazo sio asili ya afrika ukawauliza ni kwa Nini unasali ama kuswali ama kuabudu hapo ulipo kila mtu Ana reasons zake na ziko sawa kulingana na yeye.
Listen two men, one says impossible and onother says possible both are equal/alright.
Halafu Sasa mfano kupinga baadhi ya vitu vya maana huo ubavu hatuna. Mfano umeshawahi kuona detects zilizopo katika Newton's laws kweli. Ama Tesla alivyogundua umeme umeshawahi fanya research ukatoa andiko kuwa ni kwa Nini alianza vibaya wewe ukaweka vizuri.
Ama hizi chanjo u critize mkuu negative sides zake uje na njia mzuri ya chanjo.
Ama namna ya barabara zinavyojengwa uje na materials mbadala ya kutumia tusitumie lami Mana ghali sana.uje na option ya material simple Sana cheap ili uokoe our global Kama watu walivyokuja na magari ya umeme ili kuiokoa our global na global warming Mana tunaharibu ozone.

Sasa Kama huwezi Bora ukakaa kimya ili tupeane koneksheni na kupeana ujanja wa kula mbususu mpaka itetemeke Mana blacks hatuna zaidi ya akili ya kuichakata mbususu ili ituheshimu.

Yaani mie unakuta mtu anakuwa makini kinouma nukta kwa nukta badala hata uje na mbadala wa songaz, bandari ya bagamoyo kwa mustakabali wa Taifa letu. Ama elimu gani kizazi Cheri kipate ili kisitegemee ajira Bali waweze kujiajiri.
 
Kaka we si umekuja kusoma story yake na huwezi mpangia mtu asimuliaje anachokiamini nadhani sometimes hakuna haja ya kukosoa kitu cha mtu ambaye hukumpa kazi ya kuandika sio kwa ubaya, Story ni yake.
Utadhani akamlipa. Yaani blacks bana tuko poa Sana kufuatilia visivyotakiwa kufuatiliwa. Stori unaburika na kujifunza ama kuelimisha. Sasa hapa Kuna mtu atajikita mbona herufi umekosea ni unabudulika na sio unaburika. Mie naijua r hii l haipo kwenye jamii yangu so it's up to you kunisahisha utadhani unanilipa mie nijikite namna ya kuandika vizuri as along najua lengo langu litafikia hadhira
 
Sipingi stori ya mtu mkuu wala sina tabia hiyo ....katika hali ya kawaida huwezi tuambia athari za kuondoka sehemu uliyozaliwa then ukanza kutueleza maisha ya shule ...hatakama hko mbeleni alibadili lakini ameanza vibaya .....why stori itengeneze mashaka ndani ya sehem ya kwanza tu?
Umekaa unakuna kende nyumbani kwenu halafu unaanza kumpangia mtu aanzie wapi kusimulia....

Useless sperm...
 
Back
Top Bottom