USILOLIJUA KUHUSU KIJIJI CHA "KOLOMIJE"

Hivi kwa mfano huyu Video Queen maarufu hapa nchini Tanzania Masogange akienda huko Koromije sijui Kolomije kwa mvuto wake hawezi kupata Bwana au ikishindikana basi hata Hawara tu?
we lazima apate mkuu vijana wapo wametulia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ubashite ulianzia kijijini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wew jamaaaa unajua kutunga uongo aisee
 
Call Me J? Wasukuma mbona aibu. I wishi Ai Kudu bi Jonathan
 
Kwezisho, mbona wapo wengi! Mzungu alipoona mbuzi mzima kachmwa na kuiva vizuri, alipoonja na kuhisi utamu wake aka comment "wonderful" wale wajamaa wakaiita nyama ile "ndafu" hadi leo.
Hao hao wachagga walishindwa kutamka vizuri "Check Line" wakaita "Chekeleni" had I kesho.
Kwahiyo hurumia wengi sio wasukuma tu!
 
Napajua A to Z acha kudanganya watu ,me nipo chimbo ntard na full story ya mtuhumiwa
Sasa unapopinga sasa hivi kumbe hata hujui maana, kumbe ndo upo chimbo kutafuta undani sasa si ungenyamaza tu siku ukija uanzishe uzi wako kisha sisi tutakubali tu bila maswali kisha tutasahau habari za huyu wa call me J.
 
kwa kweli wasukuma hawapendi kwao magu pekee ndo kaonesha mfano,kijiji kina watu maarufu na wenye pesa Lakini Huduma za jamiiii zero,zero yaan,a.k.a ubashitenism yaaan.wasukuma igeni kwa jpm sasa kujali kwenu
 
Kijiji kimepaishwa ghafla na bashite, sio mbaya.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…