onesti shirima
Member
- Oct 26, 2015
- 55
- 18
Ngugu wana jf nimeleta hii thread kuhusu ngombe anaye zaa mapacha:
UKWELI NI KWAMBA:Endapo ng'ombe ata zaa mapacha na akawa amezaa jike na dume hio product haitaweza kuzalisha tena ila endapo wakazaliana wa jinsia moja watakuja kuzaa kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
UKWELI NI KWAMBA:Endapo ng'ombe ata zaa mapacha na akawa amezaa jike na dume hio product haitaweza kuzalisha tena ila endapo wakazaliana wa jinsia moja watakuja kuzaa kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app