Usilolijua kuhusu Wamaasai

Usilolijua kuhusu Wamaasai

Nipo hapa bar nimekutana na MAASAI wakike ni barmed bhana hatare
 
Yello maasai
Maisha yamekua magumu wamasai wanakimbilia town kulinda mageti na kusuka wake zetu na dada zetu
Hahaha na kulala pia na wakezenu coz nguvu kwisha hamnazo tena... Ndo mnawakimbia kutafuta sijui dawa za kurudisha heshima zenu zilizo poromoshwa Kwaajili ya kila chipsi... Poleni
 
Wanatafutaga nini? Mbona utafutaji wao hauna maendeleo?
Ulisha sikia hata sikumoja wamasai wanakufa njaa au wanaomba chakula cha msaada kama nyie mashomba... Au ulitegemea mafanikio yao uwekewe matangazo.... Sio Sifa ila wamasai ni kati ya makabila machache yanayo jiweza kiuchumi... Ndo maana hakunaga omba omba kama sehemu zingine... Hukuti hata siku moja... Tamaduni zao zimeweka secutity kubwa Ya survival kwa kila mtu... Upooo
 
Kwani mjini tunaenda kimamakabila.... Wanawafuta wake zenu coz wamesikia Wanaume wa mjini hawawezi kazi... Na kuwauzia dawa mpone upumngufu...mlionao... Kulinda geti zenu na ni kwasababu nyinyi ni maoga na wao jasiri.... Kama unabisha thubutu kupamabana na the King of the jungle.... Hapo ndo utajua Masai kweli sio mtu wa ivi ivi... Kusuka wakezenu... ni stategy tu ya kuwapata.... Na wamefanikiwa ndo maana wake zenu wapigana vikumbo kule kwenye vibanda vyao... Wameshaonjeshwa dudes... Ovyo yani.. KufakufaanaMjini...
 
Kwanini tunasema wamasai wanavaa mavazi ya asili wakati zile rubega na shanga zote ni zinatengenezwa viwandani tena nje ya nchi?
 
Ulisha sikia hata sikumoja wamasai wanakufa njaa au wanaomba chakula cha msaada kama nyie mashomba... Au ulitegemea mafanikio yao uwekewe matangazo.... Sio Sifa ila wamasai ni kati ya makabila machache yanayo jiweza kiuchumi... Ndo maana hakunaga omba omba kama sehemu zingine... Hukuti hata siku moja... Tamaduni zao zimeweka secutity kubwa Ya survival kwa kila mtu... Upooo
Mafanikio waliyonayo ni ya kawaida sana huwezi kuyazungumzia. Waliofanikiwa wapo kama makabila mengine tu. Omba omba wamejaa huku arusha na wengine ni wamasai au waarusha.
.
.
Vijana wa kiarusha ni wavivu kufanya kazi, kutwa wanaomba tena ukiwapa wanaishia kwenye viroba , mirungi na gongo. Sijui ni wamasai gani unaowaongelea.
.
.
Mji wa arusha umejaa wachaga, wafanya biashara ni wachaga, viongozi wa mtaa, kata, madiwani, mameya wengi wao ni wachaga. Wamasai wamezubaa tu kazi yao ni kuuza mashamba na pesa zinapotea kijingajinga wanabaki omba omba wanatia aibu. Sijui unawaongelea wamasai wa nchi gani. Wabaki kudumisha mila tu maana ndo hicho wanachoweza.
.
.
Wapo wasai walioendea tena sana lakini ni wachache mnoo.
 
Back
Top Bottom