Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba pamoja na Boniface Jacob kuachiwa kwa Dhamama kulikuwa na Jambo la kustaajabisha kidogo lililojitokeza Kwenye Mahakama ya Kisutu.
Sisi wengine kwenye mambo Makubwa huwa pia tunaangalia mambo madogo madogo, Jicho letu limeangazia idadi ya Askari waliomiminwa Mahakamani ili kuhakikisha Bonny Dongo hafurukuti, Idadi hii inatajwa kuzidi hata ile ya Askari waliomkamata Osama Bin Laden kwenye mapango.
Hesabu ya Haraka inaonyesha kwamba kwenye kizimba cha Mahakama alipokuwa Bonny alizungukwa na Askari wenye sare zaidi ya 25, Juu ya Paa kulikuwa na Askari zaidi ya 20, kwenye Geti la kuingilia kulikuwa na zaidi ya Askari 18, Huku ndani ya Mahakama wakijazwa zaidi ya Askari 50 waliovaa Kiraia.
Hoja yetu ni hii, Sababu ya Kumpaisha huyu jamaa kiasi hiki ni nini hasa, Ana Ugaidi upi wa kuitisha Mamlaka kiasi cha kukodi hata Askari wa akiba wa Mikoa ya Jirani?
Angalizo letu ni hili hapa.
Sisi wengine kwenye mambo Makubwa huwa pia tunaangalia mambo madogo madogo, Jicho letu limeangazia idadi ya Askari waliomiminwa Mahakamani ili kuhakikisha Bonny Dongo hafurukuti, Idadi hii inatajwa kuzidi hata ile ya Askari waliomkamata Osama Bin Laden kwenye mapango.
Hesabu ya Haraka inaonyesha kwamba kwenye kizimba cha Mahakama alipokuwa Bonny alizungukwa na Askari wenye sare zaidi ya 25, Juu ya Paa kulikuwa na Askari zaidi ya 20, kwenye Geti la kuingilia kulikuwa na zaidi ya Askari 18, Huku ndani ya Mahakama wakijazwa zaidi ya Askari 50 waliovaa Kiraia.
Hoja yetu ni hii, Sababu ya Kumpaisha huyu jamaa kiasi hiki ni nini hasa, Ana Ugaidi upi wa kuitisha Mamlaka kiasi cha kukodi hata Askari wa akiba wa Mikoa ya Jirani?
Angalizo letu ni hili hapa.