Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Askari wetu hawanaga kazi za kufanya wanalipwa mishahara ya bure tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pipoz bhana🤣😂🤣Sisi ndiyo CHADEMA usitupangie...tutafuta kila kitu...ata nchi.Ppoz zziii
Halafu siku ya kustaafu wanakabidhiwa milioni 18 kwa niaba ya kikokotoo halafu wanarudi kijijini kujifunza kulima mpunga.Ni kweli, ila yule wa Taya kawekewa waya, yule wa Nyonga kachomekwa Chuma, wote wako hai na Wameruhusiwa
Hata aibu huna! Wewe chawa na mlivyo na akili fupi huwezi kukumbuka hata asili yako kwenye mikesha!Sisi ndiyo CHADEMA usitupangie...tutafuta kila kitu...ata nchi.Ppoz zziii
Magidi lazima waangaliwe kwa jicho kaliChadema inaogopwa sana! Sasa sijui anayeiogopa ni CCM au ni Polisi .
Umeandika nini?Hata aibu huna! Wewe chawa na mlivyo na akili fupi huwezi kukumbuka hata asili yako kwenye mikesha!
If it quacks like a duck and walks like a duck, it is a duck. Wewe na Chadema wapi na wapi, acha ujinga.
Utakuta wakubwa wao wanaotembelea ma_vieiti ndio wametoa maaagizo ya kuwepo idadi kubwa kiasi hicho cha askari ili kumfurahisha mwenyekiti wa ccmMungu muache aitwe Mungu,kuna muda anaruhusu mambo yafanyike!,Wakadhani wanammbomoa ndio wanampa kujulikana zaidi!