Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Nimetafakari sana juu ya mfano wa mtu anayeogelea ufukweni akiwa uchi huku mwingine akimuangalia na kumcheka alivyo.
Katika tafakari hii nimejikuta nakosa maana ya kumcheka Kwa sababu tofauti ya anayecheka ni nguo tu alizovaa ila inawezekana mchekaji akawa kituko zaidi.
Fundisho la siri; Jifunze na jione wewe kupitia wengine Kwa ajili ya kujirekebisha wewe mwenyewe.
Katika tafakari hii nimejikuta nakosa maana ya kumcheka Kwa sababu tofauti ya anayecheka ni nguo tu alizovaa ila inawezekana mchekaji akawa kituko zaidi.
Fundisho la siri; Jifunze na jione wewe kupitia wengine Kwa ajili ya kujirekebisha wewe mwenyewe.