Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Kama una chuki na adui yako jitahidi chuki isizidi. Pindi chuki ikizidi inakupofusha kutoona uangamizo wako.
Yann ya kumtilia adui yako sumu kwene kisima ambacho wewe mwenyewe ndo unatumia maji??
HISTORIA YA SOMALIA NA JINSI NCHI KUBWA ILIVO ANGUKA CHUKI.
Wasomali walijikuta wametawanyika katika nchi tofauti za kenya,Ethiopia na Djibout..kutokana na mkoloni kugawa mipaka bila kuzingatia makabila .
Ni kama makabila kama ya wameru, masai,wakurya,Wajaruo walivo wengine wako kenya wengine tz.
Au wamakonde kat ya Tz na mozambique.Au Watuareg walivogawanyika Kati ya Niger,Mali,bukinafaso nk.
Hii ipogo dunia nzima.
Ukija mashariki ya kati kuna Wakurd ambao wamegawanyika wengine wako iran,iraq,Syria na Uturuki.
So madhara ya ukoloni ni haya.
Sasa wasomali kutokana na ukabila wa hali ya juu hawakuwai kukubaliana na hiki kitu.
Somalia baada ya uhuru ilikua taifa kubwa sana na nguvu kijeshi hii ilijumlisha somaliland ambayo ilitawaliwa na muingereza,na somalia iliyotawaliwa na muitaliano. Hawa wote waliungana baada ya uhuru kuwa nchi moja.
Wakiongozw na Kiongozi wa kisomali Saidi bare ambaye kiasilia alitokea Ogaden ambayo ilikua sehemu ya Ethiopia.
Watu watajiuliza ilikuaje Ogaden ikawa Ethiopia na ina wasomali.
Kiongozi wa Kipindi hicho kabla ya Haile aliweza kuwashinda wakoloni na kuwapiga na kisha kujipimia maeneo na kajimegea na hili eneo la ogaden.Ikumbukwe sehemu nyingine ya somalia ilikua chini ya mkoloni hivo wasomali walikua hawana nguvu wala maamuzi maana wao walimilikiwa na kama bidhaa ya muitalia na muingereza.
Alichofanya kiongoz wa Ethiopia n kuweka mikataba na kutambua mipaka ya Ethiopia na kutambulisha nchi yake na mipaka yake na ikafahamika dunia nzima mipaka yake wakat wasomali wakiwa watumwa wa wazungu
ITAENDELEA
Yann ya kumtilia adui yako sumu kwene kisima ambacho wewe mwenyewe ndo unatumia maji??
HISTORIA YA SOMALIA NA JINSI NCHI KUBWA ILIVO ANGUKA CHUKI.
Wasomali walijikuta wametawanyika katika nchi tofauti za kenya,Ethiopia na Djibout..kutokana na mkoloni kugawa mipaka bila kuzingatia makabila .
Ni kama makabila kama ya wameru, masai,wakurya,Wajaruo walivo wengine wako kenya wengine tz.
Au wamakonde kat ya Tz na mozambique.Au Watuareg walivogawanyika Kati ya Niger,Mali,bukinafaso nk.
Hii ipogo dunia nzima.
Ukija mashariki ya kati kuna Wakurd ambao wamegawanyika wengine wako iran,iraq,Syria na Uturuki.
So madhara ya ukoloni ni haya.
Sasa wasomali kutokana na ukabila wa hali ya juu hawakuwai kukubaliana na hiki kitu.
Somalia baada ya uhuru ilikua taifa kubwa sana na nguvu kijeshi hii ilijumlisha somaliland ambayo ilitawaliwa na muingereza,na somalia iliyotawaliwa na muitaliano. Hawa wote waliungana baada ya uhuru kuwa nchi moja.
Wakiongozw na Kiongozi wa kisomali Saidi bare ambaye kiasilia alitokea Ogaden ambayo ilikua sehemu ya Ethiopia.
Watu watajiuliza ilikuaje Ogaden ikawa Ethiopia na ina wasomali.
Kiongozi wa Kipindi hicho kabla ya Haile aliweza kuwashinda wakoloni na kuwapiga na kisha kujipimia maeneo na kajimegea na hili eneo la ogaden.Ikumbukwe sehemu nyingine ya somalia ilikua chini ya mkoloni hivo wasomali walikua hawana nguvu wala maamuzi maana wao walimilikiwa na kama bidhaa ya muitalia na muingereza.
Alichofanya kiongoz wa Ethiopia n kuweka mikataba na kutambua mipaka ya Ethiopia na kutambulisha nchi yake na mipaka yake na ikafahamika dunia nzima mipaka yake wakat wasomali wakiwa watumwa wa wazungu
ITAENDELEA