Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefunga sitaki tatizoKumbe. Hivi kwann umefunga pm?
Nimefunga sitaki tatizo
Kwan we tsh ngap kwa mechi moja tumalize Mambo hapa Hapa .Walai sio mimi kweli
Sawa mbunge...Bhana nimecheka sana .
Kuna rafiki yangu kipenzi anamadharau sana akimwona mwanaume hajajiweka sawa anamcheka na akimfuata anamkimbia au anadai kaolewa .
Kuna huyu mkaka wako majirani kikazi yaani ofisi zao zinaangaliana.
Huyu kaka alimfukuzia best yangu tokea kitambo .
Ila yule dada alikuwa anamtolea nje ila alhamisi akaamua kumuuliza unanitakia nini jamaa akarespond nataka gemu.
Sasa best yangu akamwambia ijumaa nanafasi njoo kwa mechi rafiki ila yule dada alimchukulia powa akimwona fala sana.
Sasa siikaja siku yenyewe .
Dah msidharau rough people kamchapa mpaka basi mpaka huyo dada akarudisha heshima so kumbe hawa wakaka ambao hawavai vizuri msiwachukulie powa.
Jana akanitext nakuniambia kuwa usidharau mtu usiyemjua.
Usichukulie poa.Hivi haya mambo yapo for real?
Mtu anakuomba mambo/mechi unatoa tu kizembe??
Halafu huyo rafiki yako wala hakumchukulia poa huyo jamaa...huwezi kwenda kufanya jambo kubwa la kulala na mtu kwa mtu unayemchukulia poa
Vp kwa upande wa wanawake.!!Bhana nimecheka sana .
Kuna rafiki yangu kipenzi anamadharau sana akimwona mwanaume hajajiweka sawa anamcheka na akimfuata anamkimbia au anadai kaolewa .
Kuna huyu mkaka wako majirani kikazi yaani ofisi zao zinaangaliana.
Huyu kaka alimfukuzia best yangu tokea kitambo .
Ila yule dada alikuwa anamtolea nje ila alhamisi akaamua kumuuliza unanitakia nini jamaa akarespond nataka gemu.
Sasa best yangu akamwambia ijumaa nanafasi njoo kwa mechi rafiki ila yule dada alimchukulia powa akimwona fala sana.
Sasa siikaja siku yenyewe .
Dah msidharau rough people kamchapa mpaka basi mpaka huyo dada akarudisha heshima so kumbe hawa wakaka ambao hawavai vizuri msiwachukulie powa.
Jana akanitext nakuniambia kuwa usidharau mtu usiyemjua.
...Duh Hatari San