Usimchukulie poa mtu ambaye humfahamu

Katoto sema ni wewe Ulichapwa Bwana[emoji23][emoji23]..Mwamba Alijua Haka kabinti Black katamnuku Tu!
 
Sawa mbunge...
 
Hivi haya mambo yapo for real?
Mtu anakuomba mambo/mechi unatoa tu kizembe??
Halafu huyo rafiki yako wala hakumchukulia poa huyo jamaa...huwezi kwenda kufanya jambo kubwa la kulala na mtu kwa mtu unayemchukulia poa
Usichukulie poa.
Mwanaume ni dushelele
 
Vp kwa upande wa wanawake.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…