Ujasusi bila uzalendo unakua umbeya tu.Hiyo si dhana tena bali ni uhalisia!
Katika ULIMWENGU huu wa kijasusi ni vyema sote tukatambua kwamba popote na vyovyote tufanyacho ni onekani kwa wasioonekana!
Leo hii hata muuza maji ya Kandoro usimwamini kwa wewe kujianika kwake kwa kila kitu.
Jasusi ni wewe,yule,wale na wasiowepo.
Lazima tujichunge na tuwe na kiasi katika lolote!
Nawatakia siku njema!
Nakumbuka sehem fulani mahali fulani. Kuna msemo " trust nothing, none. Suspect everything "Hiyo si dhana tena bali ni uhalisia!
Katika ULIMWENGU huu wa kijasusi ni vyema sote tukatambua kwamba popote na vyovyote tufanyacho ni onekani kwa wasioonekana!
Leo hii hata muuza maji ya Kandoro usimwamini kwa wewe kujianika kwake kwa kila kitu.
Jasusi ni wewe,yule,wale na wasiowepo.
Lazima tujichunge na tuwe na kiasi katika lolote!
Nawatakia siku njema!
Dhahili shahili, majasusi wa nchi jirani yetu wapoNakumbuka sehem fulani mahali fulani. Kuna msemo " trust nothing, none. Suspect everything "