alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,197
Hiyo si dhana tena bali ni uhalisia!
Katika ULIMWENGU huu wa kijasusi ni vyema sote tukatambua kwamba popote na vyovyote tufanyacho ni onekani kwa wasioonekana!
Leo hii hata muuza maji ya Kandoro usimwamini kwa wewe kujianika kwake kwa kila kitu.
Jasusi ni wewe,yule,wale na wasiowepo.
Lazima tujichunge na tuwe na kiasi katika lolote!
Nawatakia siku njema!
Katika ULIMWENGU huu wa kijasusi ni vyema sote tukatambua kwamba popote na vyovyote tufanyacho ni onekani kwa wasioonekana!
Leo hii hata muuza maji ya Kandoro usimwamini kwa wewe kujianika kwake kwa kila kitu.
Jasusi ni wewe,yule,wale na wasiowepo.
Lazima tujichunge na tuwe na kiasi katika lolote!
Nawatakia siku njema!