Usimdharau mwanamke, yeye ndiye ufunguo wako wa mafanikio

Usimdharau mwanamke, yeye ndiye ufunguo wako wa mafanikio

Umepata demu mpya basi unajiona umeyapatia sana maisha, jipe muda utaanza kuja kulialia humu.... kwa sasa mbingu na nchi zote zako.
 
Kwenye hili nanyoosha mikono miwilijuu 🙌 sipingi kabisa najua nn kilinitokea.
 
Hizi lawama peleka kwa mwenyezi Mungu aliyeumba binadamu na akamuweka mwanamke kama dhaifu-ukipeleka hizi tuhuma kwetu ni sawa unatuonea maana sometime ni vigumu kuenda against nature.

By the way mwanamke kunizaa mimi,au mimi kuzaa mtoto wa kike au kumuoa mwanamke haiondoi uhalisia-maana aliyekuumba ndio alifanya kosa na sio sisi wanaume.
 
Back
Top Bottom