Usimfanye ajute kuwa mkeo /mmeo.........................!

hii kali na ni kweli walio hivyo jirekebisheni na wanaume hata wanawake wapo waina hii hii
 
Poleni wanandoa kwa yanayowasibu humo ndoani!!
 

Siku moja moja sio mbaya kwa afya lakini..tusisubiri kushauriwa na daktari
 
Kuridhishana ni siri ya mkunaji / mkunwaji!
 
madame B na kwa style hii, lazma waibiwe sana nje, coz hao wezi huko nje nao, wakijua tu weakness ipo wapi, na wao wanakazia hapohapo! oh lord have mercy!
 
.....kha? The only way ku survive 'alive & sane" relationship hii ni either kuachana, au nawe kuwa na mapoozea saafi na ya kudumu.

Kwa maustaadhi kama sie hapa ndio pa kumkamata na kumla nguruwe, tena yule aliyenona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…