mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,192
- 5,743
Kuna watu watakuja hapa kupinga ila ambao tuna uchungu wa kulelewa na baba na mama wa kambo tunajua machungu yake!! Inauma sana, inaumiza sana sana!!
Siku ikitokea bahati mbaya nikachana na mke wangu watoto wangu hawatapitia machungu niliyopitia, nitawalelea mwenyewe kwa mikono yangu, sitaoa tena, nitawapa furaha angalau nikiwaona wao wanafurahia machungu yangu ndo yanaisha!!
Narudia tena ambao hawajapita hawawezi kuelewa!!
Siku ikitokea bahati mbaya nikachana na mke wangu watoto wangu hawatapitia machungu niliyopitia, nitawalelea mwenyewe kwa mikono yangu, sitaoa tena, nitawapa furaha angalau nikiwaona wao wanafurahia machungu yangu ndo yanaisha!!
Narudia tena ambao hawajapita hawawezi kuelewa!!