The fear of unknown.Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Wacha watu walane tu[emoji23][emoji23]The fear of unknown.
Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.
Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.
Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.
Be a Man.
𝐀𝐢𝐬𝐞𝐞😊Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Jamaa yako amepata hasara, hujui maana ya kua mkeWaacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Kwani kuwa mke kuna maana gani?Jamaa yako amepata hasra, hujui maana ya kua mke
Siyo Kila mke wa mtu anajiheshimu aisee Kuna wengine wanataka udondoshe Ganda watelezeee tu kwanza mke wa mtu unakuaje na akili kama bungo ya kuzoeana na wanaume ovyoo kisa msaada aliyokupaa,mke wa mtu unatakiwa uwe na limitation bhanaaUnaakili sana, kuna wadada wajinga wanajua glasses are green through out the year,
Hongera
TobaJamaa yako amepata hasra, hujui maana ya kua mke
Care ikizidi ndio mnajisahau na kuanza kuitana Ma-Babe.Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Ukiona Mwanamke ana mazoea na wanaume basi kuwa makini nae Mkuu.Siyo Kila mke wa mtu anajiheshimu aisee Kuna wengine wanataka udondoshe Ganda watelezeee tu kwanza mke wa mtu unakuaje na akili kama bungo ya kuzoeana na wanaume ovyoo kisa msaada aliyokupaa,mke wa mtu unatakiwa uwe na limitation bhanaa
Na kwa mume wa mtu wafanyaje?Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.