Usimnyanyue juu mtoto kwa njia hii ni hatari kiafya......

Usimnyanyue juu mtoto kwa njia hii ni hatari kiafya......

Dah kweli aisee afu akina baba ndo zao kuna siku katoto kalimonyolewa mkono hivyohivyo ilichukua muda kidogo kakapona! Washaskia!
 
nikweli miyalishanipata ;baba yake alimnyanyua juu kwa mikono;alafu mtoto akanza kulia tu kumkimbikiza hosp.kaumia joint za mikono sababu yakunyanyuliwa juu;akapatiwa dawa kapona;ila tulijifunza
 
1176182_210939562405522_1819491246_n.jpg

umetisha doctor
 
Back
Top Bottom