Wana mbinu zaidi ya laki moja kumchomoa pesa mwanaume, it just depends on the situation and environment soround. Na Kuna ile unajua hapa napigwa ila kwa jinsi uwongo ulivyosukwa unatoa tu ukijisemea moyoni "Any way" 😄😄mwanamke akitaka kukuibia anakuibia tu mkuu
kabsa yaan mwanamke n mjanja sana unaweza mpeleka hosptali na akakuibia vile vileWana mbinu zaidi ya laki moja kumchomoa pesa mwanaume, it just depends on the situation and environment soround. Na Kuna ile unajua hapa napigwa ila kwa jinsi uwongo ulivyosukwa unatoa tu ukijisemea moyoni "Any way" 😄😄
Yaani week imeanza vibaya eti tukiumwa hamna kutupa hela, tunaongozana hospitali😀😀🙌 acheni ubahili wanaume nyieDuh financial services sijui utaanzia wapi maana nyuzi bado zinakuja
Nomah sana.Kuna mmoja alinipigia cm kunipa taarifa kuwa anaumwa toka asubuhi hajatoka ndani. Nikamuuliza umeenda hsptal jibu hapana, imani ikanijia japo hatujawasiliana mda mrefu na huwezi kuamini muda ananipigia cm natoka atm kuokota. Nikasema Mungu ana sababu zake mm kupokea cm hii muda huu nikamjulisha nachukua pikipiki nakuja kwako nikupeleke hsptal si akanikataa kumbe alitaka kunipiga
Kwanza kwanini umpeleke hospital. Hana kazi? hana ndugu? Sio kumnyima hela tu hata uko hospitali hakuna kumpeleka labda awe mkeo.Habari zenu,
Kumekuwa na kasumba ya wanawake kuomba hela kwa kigezo cha kuumwa au kuomba hela kununua Dawa.
Ewe Mwanaume mwenzangu nakuhisia! usijaribu na wala usitume muamala mpaka pale mtakapoongozana na kwenda hospital kumpima ili ujue kama anaumwa kweli au lah!
Wanawake wengi wamekuwa wanatuibia na kutufirisi kwa kigezo cha kuumwa na kuomba hela za Dawa.
KAULI MBINU : USITUME HELA ONGOZANA NAE HOSPITAL.
Nyie jidanganyeni hapa lakin huku nyuma ya pazia pesa lazima mtugawie tu .Habari zenu,
Kumekuwa na kasumba ya wanawake kuomba hela kwa kigezo cha kuumwa au kuomba hela kununua Dawa.
Ewe Mwanaume mwenzangu nakuhisia! usijaribu na wala usitume muamala mpaka pale mtakapoongozana na kwenda hospital kumpima ili ujue kama anaumwa kweli au lah!
Wanawake wengi wamekuwa wanatuibia na kutufirisi kwa kigezo cha kuumwa na kuomba hela za Dawa.
KAULI MBINU : USITUME HELA ONGOZANA NAE HOSPITAL.
Matunda na nauliWanawake wengi wamekuwa wanatuibia na kutufirisi kwa kigezo cha kuumwa na kuomba hela za Dawa.