Usimrudie Ex wako unaweza kuvuna kifo analia anataka kurudi huyu mjinga

Usimrudie Ex wako unaweza kuvuna kifo analia anataka kurudi huyu mjinga

mfichuamambo

Senior Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
107
Reaction score
313
Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)

Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa siku chache baada ya mama kutuzaa.

Jamani wanaume wengine hapana uwiii mpaka nimejifungua mwaka juzi hakunitafuta na wala kujigusa even alinitelekeza na mimba ya miez 6 mbwa yule

Sahivi watoto wamefikisha miaka 2 ndo anajirudisha kwa bidii zote na saivi ndo simpendi hata sina haja nae na nilishamsahau namuona hana maajabu tu kisoda yule

Alafu mungu alivyo mwema sasa nilivyojifungulia kwetu nimekaa miez sio mingi nikapatiwa mchongo nikapata kikazi mahali nikafanya kama miezi flan nikakutana na mtu akanisapoti nikaacha ile kazi nikafungua biashara Mungu ni mwema biashara imekua kubwa na nalea wanangu mwenyewe

Sahivi ndo anajirudisha mbona amechelewa?Maex huwa hawana akili kabisa usikubali kumrudia ex wako utavuna mauti na balaa alikua na vipesa kuna limama alikua anatoka nalo likimpa mihela yule mama kadead na habar imeishia hapo alikua na kazi mkandarasi kamaliza mkataba make kwanza nicheke apo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahiv anakaa kwao alinunua had kiwanja nikiwa nae akadanganywa akakiuza alikua na pikpik imekwenda na maji sahiv anaishi kwa shemeji yake alikoolewa dada yake anaomba kurudi kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sirudiagi matapishi kama ni watoto hatokaa awaone hata kuwahug labda nife nioze watoto hawatokuja wakanyage kwa huyo shetan alokana tokea mimba

Jamani msirudie maex ni laana tupu mimi sirudi nyuma tena nipo naela watoto wangu namshukuru Mungu
 
Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)

Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa siku chache baada ya mama kutuzaa.

Jamani wanaume wengine hapana uwiii mpaka nimejifungua mwaka juzi hakunitafuta na wala kujigusa even alinitelekeza na mimba ya miez 6 mbwa yule

Sahivi watoto wamefikisha miaka 2 ndo anajirudisha kwa bidii zote na saivi ndo simpendi hata sina haja nae na nilishamsahau namuona hana maajabu tu kisoda yule

Alafu mungu alivyo mwema sasa nilivyojifungulia kwetu nimekaa miez sio mingi nikapatiwa mchongo nikapata kikazi mahali nikafanya kama miezi flan nikakutana na mtu akanisapoti nikaacha ile kazi nikafungua biashara Mungu ni mwema biashara imekua kubwa na nalea wanangu mwenyewe

Sahivi ndo anajirudisha mbona amechelewa?Maex huwa hawana akili kabisa usikubali kumrudia ex wako utavuna mauti na balaa alikua na vipesa kuna limama alikua anatoka nalo likimpa mihela yule mama kadead na habar imeishia hapo alikua na kazi mkandarasi kamaliza mkataba make kwanza nicheke apo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahiv anakaa kwao alinunua had kiwanja nikiwa nae akadanganywa akakiuza alikua na pikpik imekwenda na maji sahiv anaishi kwa shemeji yake alikoolewa dada yake anaomba kurudi kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sirudiagi matapishi kama ni watoto hatokaa awaone hata kuwahug labda nife nioze watoto hawatokuja wakanyage kwa huyo shetan alokana tokea mimba

Jamani msirudie maex ni laana tupu mimi sirudi nyuma tena nipo naela watoto wangu namshukuru Mungu
Huu mwandiko ni wa mwanamke au Mwanaume?
 
Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)

Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa siku chache baada ya mama kutuzaa.

Jamani wanaume wengine hapana uwiii mpaka nimejifungua mwaka juzi hakunitafuta na wala kujigusa even alinitelekeza na mimba ya miez 6 mbwa yule

Sahivi watoto wamefikisha miaka 2 ndo anajirudisha kwa bidii zote na saivi ndo simpendi hata sina haja nae na nilishamsahau namuona hana maajabu tu kisoda yule

Alafu mungu alivyo mwema sasa nilivyojifungulia kwetu nimekaa miez sio mingi nikapatiwa mchongo nikapata kikazi mahali nikafanya kama miezi flan nikakutana na mtu akanisapoti nikaacha ile kazi nikafungua biashara Mungu ni mwema biashara imekua kubwa na nalea wanangu mwenyewe

Sahivi ndo anajirudisha mbona amechelewa?Maex huwa hawana akili kabisa usikubali kumrudia ex wako utavuna mauti na balaa alikua na vipesa kuna limama alikua anatoka nalo likimpa mihela yule mama kadead na habar imeishia hapo alikua na kazi mkandarasi kamaliza mkataba make kwanza nicheke apo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahiv anakaa kwao alinunua had kiwanja nikiwa nae akadanganywa akakiuza alikua na pikpik imekwenda na maji sahiv anaishi kwa shemeji yake alikoolewa dada yake anaomba kurudi kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sirudiagi matapishi kama ni watoto hatokaa awaone hata kuwahug labda nife nioze watoto hawatokuja wakanyage kwa huyo shetan alokana tokea mimba

Jamani msirudie maex ni laana tupu mimi sirudi nyuma tena nipo naela watoto wangu namshukuru Mungu
Huna lolote bado unampenda ndomaana unamfungulia uzi, unajitutumua nahuku ni single mother.
 
Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)

Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa siku chache baada ya mama kutuzaa.

Jamani wanaume wengine hapana uwiii mpaka nimejifungua mwaka juzi hakunitafuta na wala kujigusa even alinitelekeza na mimba ya miez 6 mbwa yule

Sahivi watoto wamefikisha miaka 2 ndo anajirudisha kwa bidii zote na saivi ndo simpendi hata sina haja nae na nilishamsahau namuona hana maajabu tu kisoda yule

Alafu mungu alivyo mwema sasa nilivyojifungulia kwetu nimekaa miez sio mingi nikapatiwa mchongo nikapata kikazi mahali nikafanya kama miezi flan nikakutana na mtu akanisapoti nikaacha ile kazi nikafungua biashara Mungu ni mwema biashara imekua kubwa na nalea wanangu mwenyewe

Sahivi ndo anajirudisha mbona amechelewa?Maex huwa hawana akili kabisa usikubali kumrudia ex wako utavuna mauti na balaa alikua na vipesa kuna limama alikua anatoka nalo likimpa mihela yule mama kadead na habar imeishia hapo alikua na kazi mkandarasi kamaliza mkataba make kwanza nicheke apo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahiv anakaa kwao alinunua had kiwanja nikiwa nae akadanganywa akakiuza alikua na pikpik imekwenda na maji sahiv anaishi kwa shemeji yake alikoolewa dada yake anaomba kurudi kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sirudiagi matapishi kama ni watoto hatokaa awaone hata kuwahug labda nife nioze watoto hawatokuja wakanyage kwa huyo shetan alokana tokea mimba

Jamani msirudie maex ni laana tupu mimi sirudi nyuma tena nipo naela watoto wangu namshukuru Mungu
Huyo jamaa ni mwehu, alikukosea sana, ila damu yao itawatafuta au wao watawatafuta ndugu wa baba yao kwa namna usiyoijua au inayoijua.
 
Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)

Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa siku chache baada ya mama kutuzaa.

Jamani wanaume wengine hapana uwiii mpaka nimejifungua mwaka juzi hakunitafuta na wala kujigusa even alinitelekeza na mimba ya miez 6 mbwa yule

Sahivi watoto wamefikisha miaka 2 ndo anajirudisha kwa bidii zote na saivi ndo simpendi hata sina haja nae na nilishamsahau namuona hana maajabu tu kisoda yule

Alafu mungu alivyo mwema sasa nilivyojifungulia kwetu nimekaa miez sio mingi nikapatiwa mchongo nikapata kikazi mahali nikafanya kama miezi flan nikakutana na mtu akanisapoti nikaacha ile kazi nikafungua biashara Mungu ni mwema biashara imekua kubwa na nalea wanangu mwenyewe

Sahivi ndo anajirudisha mbona amechelewa?Maex huwa hawana akili kabisa usikubali kumrudia ex wako utavuna mauti na balaa alikua na vipesa kuna limama alikua anatoka nalo likimpa mihela yule mama kadead na habar imeishia hapo alikua na kazi mkandarasi kamaliza mkataba make kwanza nicheke apo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahiv anakaa kwao alinunua had kiwanja nikiwa nae akadanganywa akakiuza alikua na pikpik imekwenda na maji sahiv anaishi kwa shemeji yake alikoolewa dada yake anaomba kurudi kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sirudiagi matapishi kama ni watoto hatokaa awaone hata kuwahug labda nife nioze watoto hawatokuja wakanyage kwa huyo shetan alokana tokea mimba

Jamani msirudie maex ni laana tupu mimi sirudi nyuma tena nipo naela watoto wangu namshukuru Mungu
Bado unampenda, kuwa mkweli
 
Back
Top Bottom