Sahihi kabisaNa wanawake muwe mnaangalia mwanaume wa kumzalia sio kukurupuka
Hakika 🤣Nimewaza kwa huu uandishi wake sipati picha mdomo wake utakuwaje.
Jamaa ana haki ya kulala mbele
Nimewaza kwa huu uandishi wake sipati picha mdomo wake utakuwaje.
Jamaa ana haki ya kulala mbe
Huwa mnajiandika usoni mkianza kututongoza maana huwa mnakuja kama malaika
Kwanza angalia picha aliyoweka kwenye avatar yake kisha utagundua kwamba huyo ni mtu wa namna gani. Picha hiyo inasadifu hali halisi jinsi alivyo mleta hoja.Nimewaza kwa huu uandishi wake sipati picha mdomo wake utakuwaje.
Jamaa ana haki ya kulala mbele